Recent content by Seeker Seeker

  1. Seeker Seeker

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Cape Verde anacheza na timu ambayo kwenye Ramani ya dunia ya mpira haipo, alafu inashindwa kutoa 1.5 over na kabaki yeye
  2. Seeker Seeker

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Belgium niliomba goli 5 , mpaka sasa ana 1 half time , Kwakeli mpira sio rede
  3. Seeker Seeker

    Simba you are too good for nothing, lini mtaacha kufa kiume, shame

    simba ni hawa aliyetoka ubavuni Mwa mwanaume Yangaa .
  4. Seeker Seeker

    Mnaomfananisha Mbahatishaji Chama na Anayejua Aziz K mna Akili sawa sawa Kweli?

    Wajinga hawana akili , unamfananishaje Aziz na Vitu vya kijingaaa
  5. Seeker Seeker

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    odds 2 hizo mkuu team 14 , Ungeweka ? mikeka mingine acha tu mtu apige kimyakimya maana sizani kama kuna mtu angefuata
  6. Seeker Seeker

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ukraibe na kenya tu odds 50
  7. Seeker Seeker

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    kenya Over 1.5 alikuwa na 3.5 , kweli uoga wangu ndo umaskini wangu aseeh
  8. Seeker Seeker

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Duuh aseeeh , Kweli aseeh ! Me nilikuwa Chuo mwaka wa 3
  9. Seeker Seeker

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    ni Austria vs Belgium sio Australia
Back
Top Bottom