Ungekuwa msaada mzuri kwake kama ungemjulisha anakopatikana bwana ili akatafute mume huko. Halafu wewe unajibu kutoka wapi hata useme humu wamejaa wenye sifa hizo mbaya ulizozitaja?
Ninachojua mimi ni kwamba anaweza kupata amtakaye humu humu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.