Puuzeni. Mhe. Juma Raibu Bado anaendelea kuwasaidia Wananchi wake na habari za upotoshaji zinazosambaa kwamba ameondoa miundombinu aliyotoa kwa Wananchi NI uongo na uzushi wa watu wanaomchafua.
----
Kesho kutwa nitachangia vifaa vya ujenzi kwa Kata za Mjini Manispaa ya Moshi ili waweze kujenga...
WAFANYANYABIASHA WA SAMAKI MOSHI WALAUMU KUCHANGISHWA FEDHA ZISIZO NA MAANA NA WAHUNI WA SOKO JIPYA LA MAILISITA, PAMOJA KUIBIWA IKIWEMO UMBALI WA ENEO HILO, WAAHIDI KURUDI SOKO LA PASUA MEYA RAIBU AWANUNULIA MAJOKOFU YA KUHIFADHIA SAMAKI
Na Mwandishi Wetu
Katika hali ya kustaajabu kundi la...
Hii ndiyo nchi sasa. Sio mambo ya Bwana yule kudanganya watu kila kukicha hakopi tunatumia fedha za ndani kumbe ndo kakopa kuliko yoyote. Rais Samia anatupeleka pazuri sana. Nyie huu Uwekezaji tunaoupata ukianza kutoa matunda baada ya muda mfupi hii nchi itakuwa mbali sana. Subiri muone
Huyu Rais Samia anajua kuendesha nchi, Tanzania sio kisiwa ni lazima iende na Dunia ili maendeleo makubwa zaidi yaje nchini. Huo utajiri tunaojisifu nao kama hatujautangaza na kuleta Wafanyabiashara wa kufanya nao kazi itakuwa bure. Heko Rais Samia kwa kuendelea kuifungua nchi zaidi. Kwa mwendo...
Heko CCM. Wakati Vyama vya Upinzani vinahangaika na ajenda za kudandia na kupinga kila kitu, CCM inazidi kujizatiti kwa kuandaa Viongozi wake kiuadilifu na wazalendo kulitumikia Taifa. Sioni Chama Cha kuiondoa CCM madarakani mpaka Dunia hii inakwisha kwa namna wanavyojijenga kimifumo kila uchao.
Jumamosi ya Septemba 04, 2021 Msemaji Mkuu wa Serikali alizungumza na Waandishi wa habari na kutoa taarifa ya wiki kwa Watanzania. Huu ni ufafanuzi wake kuhusu maendeleo ya miradi yetu mikubwa na ya kimkakati inayoendelea kutekelezwa nchini:-
"Yote kwa yote shughuli zote za Serikali zinaendelea...
Leo Jumamosi Septemba 04, 2021 Msemaji Mkuu wa Serikali Mhe Gerson Msigwa atazungumza na Wanahabari na kutoa taarifa ya wiki kwa Watanzania kupitia vyombo vya habari kuanzia saa 5 asubuhi. Wananchi watapata fursa pia ya kuuliza maswali kwa kupiga simu kupitia Simu no: 0733111111
Usikose...
Leo Jumatano Septemba 01, 2021 Gazeti la HABARI LEO limeachia Makala yangu kwenye ukurasa wake wa 12 mpaka 13 yenye kichwa cha habari "KWANINI NI MUHIMU TANZANIA IENDELEE KUNUNUA NDEGE?. Mjadala mzuri na mkubwa sana.
Ni hivi, katika juhudi za kufufua Shirika la ndege na kuimarisha sekta ya anga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.