Recent content by Securedada

  1. Securedada

    Ex harudiwi. Ilikuwaje ulipomrudia Ex wako? (Ushuhuda)

    Mwandiko wako naujua anyway.
  2. Securedada

    Kwa hali hii kuoa au kuolewa ni kazi ngumu

    [emoji1787] [emoji1787] Ndo akili yako inavyokutuma
  3. Securedada

    Asije akakudanganya Mtu, wanawake nao wanatamani wanaume

    Kuchomekea haitoshi uwe na sura flan ya kiume, alafu black, kunukia zingatia[emoji1787]
  4. Securedada

    I'm bored nipeni kampani

    Wewe ni mnaaa
  5. Securedada

    Asije akakudanganya Mtu, wanawake nao wanatamani wanaume

    Mwanaume awe mweusi, mrefu kiasi, anachomekea yan kava official, kavaa saa kali, alafu ananukia, aiseee lazima nimwangalia mara mbili mbili
  6. Securedada

    Anatumia urafiki Kama fursa ya kudeka sana mpaka inakuwa mateso

    #Hapo kuna urafiki gani sasa[emoji1787][emoji1787]Mbona kama hapo mna biashara inaendelea
  7. Securedada

    Jinsi michepuko inavyompa raha mke wangu

    Kuna vitu vinachekesha, so ukitoka kwamcheps na wife siku hiyo hiyo lzma liamshwe? Kuna watu hawaogopi kabisa magonjwa
  8. Securedada

    Ulifanyaje ulipoachika?

    Sikia wanawake tupo hivi, mwanaume ambaye hatumpendi huwa tubamuomba ela kila mara ili achoke ajiondoe ndo maana umeona baada ya kumnyima eka imekuwa rahisi kusema tuachane. Hapo hakuna upendo kaka unachunwa. Tafuta mtu atakayekupenda na siyo kupenda pesa zako
  9. Securedada

    Nikishatofautiana na WIFE, Michepuko naiona kama takataka

    Mhm madini tupu, akifuata huu ushauri ndoa imepona
  10. Securedada

    Mje mnishauri ninaweza kumwacha mtoto wa mtu kwenye mataa

    Ndo mana vichaa wanaongezeka kila kukicha. Sasa ulimpaje ujauzito kama hukuwa unampenda? Muwage na huruma basi na watoto wa watu. Co ushamuharibia maisha huyo unatak akaolewe na nani?
  11. Securedada

    Analazimisha kunioa

    Habari za wakati huu wakuu Niende moja kwa moja kwenye point, mimi ni binti wa miaka 28 nipo kitengo flan na mpenz wangu ana miaka 35 naye hivyo hivyo yupo kitengo flan. Sasa huyu mpenzi wangu nipo nae miaka mitatu sasa yeye alishanitambulisha kwao i mean ndugu zake wananifahamu. Mimi kwetu...
  12. Securedada

    Hivi ni kweli kuwa siku hizi mapenzi ni expensive?

    [emoji1787] [emoji1787] Bora uwaambie hawa vijana
  13. Securedada

    Amber Lulu apigwa na mpenzi wake na kujeruhiwa vibaya

    [emoji1787] [emoji1787] Maisha haya hivi kuna mwanaume kabisa anatulia hapo anasema mke wangu
  14. Securedada

    Huyu dada wa JF alinichunia baada ya kumwambia nina mke

    Kwa hiyo muda wote mliokuwa mnakutana mlikuwa mnaongelea nini kama siyo mahusuano? Kuna watu wanapenda kuumiza hisia za wenzao siyo poa
Back
Top Bottom