Hapo kuna barua unapaswa kuandika ili warekebishe efilling account yako na hiko kipengele cha 2020 kiondoke… Usifanye chochote bila kuwaandikia barua hiyo ili warekebishe na mkubaliane, maana ukifile tu na hiyo penalty ikajipiga basi utakua ushakuza mambo.. Kwa maelezo zaidi nicheki whatsapp au...
Utaratibu wa kusajili kampuni ya aina yoyote ile huwa unafanana, ila utofauti huwa unakuja kwenye upatikanaji wa leseni na vibali vya biashara
Ili kusajili kampuni mpya kwanza kabisa inabidi waanzilishi wa kampuni muwe wawili na kuendelea, na pia kama wote ni watanzania ni lazima muwe na namba...
Presumptive taxpayers huwa HAWANA PENALTY!, hata itokee umechelewa kufanyiwa makadirio basi utapoenda TRA watakufanyia tu makadirio yako ya kodi kwa mwaka husika pasipokua na penalty ya aina yoyote ile.
Ila kitu muhimu kama biashara umefunga mwezi wa 6 mwaka jana we walipe kile ambacho...
Utaratibu wa kusajili kampuni ya aina yoyote ile huwa unafanana, ila utofauti huwa unakuja kwenye upatikanaji wa leseni na vibali vya biashara
Ili kusajili kampuni mpya kwanza kabisa inabidi waanzilishi wa kampuni muwe wawili na kuendelea, na pia kama wote ni watanzania ni lazima muwe na namba...
Unaweza kuzitupa kama ukiona zimejaa sana, mana Ukizitunza zote utaishia kujaza maboksi kwa maboksi ya z report, muhimu tu uwe unatoa Z report kila siku
Hifadhi kila hesabu inayohusiana na kampuni mkuu.. kwanza kuwa na Expenses/Purchases ledger.. Hifadhi risiti zote za manunuzi, kwa manunuzi au matumizi yasiyo na risiti kuwa na angalau petty cash voucher…
na kwa kuongezea Kama uko vizuri kwenye account na kutumia system basi hifadhi kukbukumbu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.