Recent content by secretarybird

  1. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Afande Sele achukizwa wasanii kuunganishwa na wenye tuhuma za Ushoga kwenye Wito wa Waziri Katambi

    Tena Mimi kama mtu akinitukana namwambia anitukane tena ili nijua kama kweli ameanza vita.au anatania.
  2. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Usikubali kufanywa mdogo na yeyote

    Mwambie akaze tu. Njaa ikiuma zaidi aibe tu!
  3. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    Modinyos wamekuwa jamaa zangu siku hizi.
  4. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    Hiyo misemo uliiona wapi?
  5. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Usikubali kufanywa mdogo na yeyote

    Sitakupa buku, bali nitakufundisha jinsi ya kukaa na njaa bila kufa.
  6. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Punyeto itanimaliza wakuu, Kwa mwenye uzoefu na alifanikiwa kuacha naomba ushauri wake natamani sana kuacha wakuu

    UKIMWI, na gono ni mambo marahisi, siyo? Haya bhana!
  7. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Punyeto itanimaliza wakuu, Kwa mwenye uzoefu na alifanikiwa kuacha naomba ushauri wake natamani sana kuacha wakuu

    Ukiacha nyeto utupoteza mengi. Shauri yako!
  8. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Punyeto itanimaliza wakuu, Kwa mwenye uzoefu na alifanikiwa kuacha naomba ushauri wake natamani sana kuacha wakuu

    Sikia mkuu. Ukiwa mpiga nyeto hata mke wako kwenye ndoa hakusumbui, yaani anaogopa kuwa nyeto itam-replace.
  9. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Punyeto itanimaliza wakuu, Kwa mwenye uzoefu na alifanikiwa kuacha naomba ushauri wake natamani sana kuacha wakuu

    Umejiuzulu halafu unaomba tena namna ya kuiacha?!
  10. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Jihadhari, utakufa mapema bure kwa sababu ya uchungu ulio nao!

    Nimefurahi sana kukuona tena bibie.
  11. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Usikubali kufanywa mdogo na yeyote

    Niko vyema 😎
  12. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Afande Sele achukizwa wasanii kuunganishwa na wenye tuhuma za Ushoga kwenye Wito wa Waziri Katambi

    Mimi ni mstaatabi sana humu. Wote niliowalenga kwa makombora walianza kunichokoza.
Back
Top Bottom