Yu wapi Steve Moyo Mchongi?
Huyu jamaa alikuwa ananikosha sana, hasa alipokuwa anataja msimamo wa ligi kuu soka Tanzania bara.
Bujibuji Simba Nyamaume.
Hivi wakomoro mbona wanaongea kiswahili vizuri kuliko hata baadhi ya wabongo. Kuna mchambuzi mmoja wa DW alifariki mwaka juzi kama sikosei naye alikuwa mgazija.
Watangazaji wa enzi zetu nawakubali sana. Si hawa wanaobananga lugha, hawajui miiko ya kazi n.k.
Hadi leo nikiwa nasikiliza makala yoyote redioni huwa najua kabisa iwapo aliyeyaandaa ni mtangazaji wa zamani au hawa GenZ bila hata mwandaaji kutajwa.
Watu wa zamani walikuwa deep bhana!
Huyu Esther Githui Ewart akiwa anajitbulisha ni kama anasema, "Esta Giduyu what?". 😂😂
Kijana wangu Monetary doctor we ulikuwa wapi wakati hawa watangazaji wa kitambo wanawafanya vyema?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.