Recent content by Second July

  1. Second July

    Nahisi "house girl" anayedaiwa kuua mtoto ni muhanga

    Umesema kweli hapa... Jirani ameleta ujuaji kwenye hii ishu pasipo kuwa na facts. Na fact ni kuwa cctv camera hazikuwa zinafanya kazi. Kimbelembele cha kujiongeza kipumbavu cha jirani. Polisi wafanye kazi yao kwa uweledi kwenye hili na wananchi tupate feedback ili tuwe na la kujifunza litusaidie...
  2. Second July

    Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

    Ukiingalia hii video kwa umakini utaona mambo mawili:- 1. Mwanaume anamkisi mwanamke mara nyingi na body language yake inaonyesha anakisi kwa hisia, kwa kumaanisha (he is feeling the kiss) 2. Mwanamke anajaribu kukwepa attempts zote za jamaa kumkisi though hapa watu wanaweza sema "she was busy...
  3. Second July

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nazungumzia kitaalam... Labda kama ulifanya Ana.l s.ex Se.x through va.gina haiambukizi UTI (Science hii na sio hisia kama hizo ulizonazo mkuu)
  4. Second July

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    UTI haiambukizwi kwa njia ya kawaida ya kufanya mapenzi (normal sex).
  5. Second July

    Ukizaa na mume wa mtu, mtoto ni wa kwako

    Nimependa mwandiko wako, hongera sana, una uwezo mzuri wa kuelezea jambo.
  6. Second July

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    "Doctors usually recommend avoiding sex until the infection has cleared up completely. This is because having sex may irritate the urinary tract and can push bacteria into the urethra, worsening the infection" Uko sahihi mkuu.
  7. Second July

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    I also beg to differ.... Wote tunafaham kuwa mnaweza mkawa wasomi wa fani flan zaid ya mmoja lkn mkazidiana uweled kwny proffesionala husika. Kuna baadhi ya madaktar wanachanga hii issue na kuwa-mislead watu amabao hawana taaluma ya kitabibu. Tena hawa wenye maabara (not hospt in such) ndio...
  8. Second July

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Reaction yake (time to see the symptons of uti) varies with the type of microbe(vijidudu) ulivyokutana navto (viko tofauti tofauti). Hizi symptons zinaanza kuonekana kuanzia siku mbili mpk siku nane..
  9. Second July

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mkuu U.T.I haiambukizwi kwa njia ya se*x hata kidogo. Unaweza ukawa ulipata hiyo u.t.i kwasababu ya uchafu wa damu ya period. Ila kitaalamu u.t.i haiwezi kuambukizwa kwa njia ya kujamiana. U can only get u.t.i if u do an*al se*x au kwa mwanamke km mwanaume anaweka finger au di*ck yake kwa an*al...
  10. Second July

    Jaji Sumari amgomea Jaji Kiongozi kwenye kesi ya mauaji ya mwanafunzi wa shule ya Scolastica

    Kuna watu wakishakuwa na pesa ma cheo kikubwa basi huwa wanakuwa na kiburi na wanahisi wanaweza fanya kitu chochote hapa duniani. Hapa ni kiburi na na tamaa ya pesa (kulinda jina la shule) vimemponza. Ni mtu hatari sana huyu hatakiwi kuwepo uraiani, sheria ifuate mkondo wake apate adhabu...
  11. Second July

    Jaji Sumari amgomea Jaji Kiongozi kwenye kesi ya mauaji ya mwanafunzi wa shule ya Scolastica

    Hapo kwel lazima ilete ukakasi. Nimesoma juu kwny post moja wamesema alijitete kuwa aliyeokotwa na kuzikwa aliona ni mtu mzima na mwny ndevu, je ni kweli hili?? Na kama ni kwel alijitetea hv, ilkuwaje ye ndo akahusika na kuokota na kuzika mwili wa mtu tu wa mtaan ambae hausiki naye au shule iko...
  12. Second July

    Jaji Sumari amgomea Jaji Kiongozi kwenye kesi ya mauaji ya mwanafunzi wa shule ya Scolastica

    Mkuu tweenty4seven , muuliza swali anauliza mwenye mtoto baada ya kupigiwa sim na Shayo ametotoroka, yeye alikuja kujua vip au kuhis mtoto wake ameuawa shuleni?? Je alitoa taarifa polis ndio polis kuanza kufuatilia na kujua ukwel au alipataje ahz taarifa ambazo inaonekana Shayo alikula njama na...
  13. Second July

    Serikali yakanusha kuhusu Waziri Kangi Lugola kumiliki akaunti katika mtandao wowote wa kijamii

    Ana uwezo mdogo sana wa kufikiri, hawez kufanya kaz kwny kampuni kubwa km hizo. Lugola ni moja kati ya mawaziri wa hovyo sana Tanzania kupata.
  14. Second July

    Multichoice (Dstv) na Zuku hatarini kunyang'anywa leseni za kurusha matangazo Tanzania kwa kukaidi Agizo la TCRA la kutoonyesha televisheni za ndani

    Kwasasa ukitaka kuona local channels ambazo ni FTA ni lazima uwe na moja kati ya hivyo ving'amuz vitatu. Na kwa jinsi hivyo ving'amuz vitatu vilovyo vya hovyo, itakulazimu tu uwe na ving'amuz viwili kimoja chenye FTA channel (coz wengi ni wapenz wa taarifa ya habar ya itv na vipind vyao) na...
  15. Second July

    Multichoice (Dstv) na Zuku hatarini kunyang'anywa leseni za kurusha matangazo Tanzania kwa kukaidi Agizo la TCRA la kutoonyesha televisheni za ndani

    Kwa utaratibu mbovu na kanuni mbovu, TCRA ina leseni za ain mbili. Aina ya kwanza ni leseni ya local itakayokuwa na Free to Air channels (channel zitakazorushwa bure bila kulipia) ambazo ni ITV, TBC1, Channel 10, Clouds TV, Star Tv na EATV. Hiz FTA channel ni decorder tatu tu zenye leseni au...
Back
Top Bottom