Recent content by Second Fiddle

  1. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mimi nataka kucheza both teams to score!
  2. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    safi sana mdau, ila naomba kujuzwa namna m-bet wanalipa wateja wao wanaobet online. Mimi nilitumia m-pesa kulipia tiketi, tiketi imeshinda lakini sioni waniingizie kwenye account yangu ya m-pesa! Au ofisi zao ziko wapi niwaibukie?
  3. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sikuomba Msaada Wa Ushauri Tafadhali, Niliomba Msaada Wa Namna Ya Kubet Online. Hata Hivyo Nakushukuru Kwa Uwepo Wako Karibu Na Mimi, Naamini Nexttime Utanisaidia Vile Nataka! Jpili Njema!
  4. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wasalaam! Shida Yangu Kubwa Naombwa Kuelekezwa Namna Ya Kubet Online! Iwe Meridian, M-bet, Ladbrokers, Etc! Kisimu Ninachotumia Ni Tecno Y3. Ni Hilo Tu Wakuu! Nawasilisha.
  5. S

    Face to face with the devil

    Alfu lela ulela!
  6. S

    Unaposafiri na Bus unapenda viti (seats) gani?

    Mtazamo wako ni kama wangu 100%!
  7. S

    Premier betting, tiket ikishinda walipaji hawatoi hela hadi uwahonge

    Kuna siku nilitumia 120,000/=tsh kubet, nikala 47,000/=! Mtoaji hela akanipa 40,000/=tsh, elf 7 akazuia yeye akidai apate japo maji! Hajui kama mikeka mingine nilobet kwa pesa kubwa imechanika! Hatar sana hawa watu! Bora madem wanaombaga, tena buku 2 tu yy anaridhika!
  8. S

    Jihadharini na aina hii ya utapeli (true story)

    Waganga kama hawa dawa yao ni risasi tu! Maana ni umbumbumbu kuugeuza utapeli ndo fani ya kukuwezesha kuishi! Hata hivo siamin kama kwel katapelia M20+ then ashindwe ku....WATAPEL HAOHAO WAJINGA!
  9. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi Tabora hii kitu kuBET ishafika au nakwenda msituni nibuni namna nyingine ya kupata pesa za viroba?
  10. S

    Watu wa Tabora nisaidieni!

    Salaam! Naomba mnijuze kama PREMIER BETTING au MERIDIAN tayari wapo hapo Tabora au bado hawajafika? Kama tayari wapo, nitajie eneo walipo, nataka kuwatembelea leo!
  11. S

    Naomba kujuzwa kuhusu BVR!

    Wasalaam! Nakihitaji sana kitambulisho cha mpiga kura na kwasasa nipo nje ya dar! Naomba kufahamishwa tarehe ya mwisho kuandikisha hapo dar. Pia naomba kufahamishwa mikoa ambayo zoezi hili bado halijafanyika ili kama nitachelewa zoezi hili likafungwa kwa dar basi nijaribu kujimuvuzisha...
  12. S

    Updates za zoezi la uandikishaji vitambulisho vya kupigia kura kwa Mkoa wa Dar es salaam

    Ha haaaa! Mm ni mgumu kucheka lakn umefanikiwa kunichekesha kirahisi sana!
  13. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Poleni kwa majukumu! Naombeni utabiri wenu kwa mechi 2 za kesho; 1.Germany(u21) v Denmark(u21). 2.Serbia(u21) v Czech(u21). Utabiri wako plz!
  14. S

    Nawapenda sana malaya

    Nimelipenda hili jibu! Chukua like mkuu!
Back
Top Bottom