safi sana mdau, ila naomba kujuzwa namna m-bet wanalipa wateja wao wanaobet online. Mimi nilitumia m-pesa kulipia tiketi, tiketi imeshinda lakini sioni waniingizie kwenye account yangu ya m-pesa! Au ofisi zao ziko wapi niwaibukie?
Sikuomba Msaada Wa Ushauri Tafadhali, Niliomba Msaada Wa Namna Ya Kubet Online. Hata Hivyo Nakushukuru Kwa Uwepo Wako Karibu Na Mimi, Naamini Nexttime Utanisaidia Vile Nataka! Jpili Njema!
Wasalaam! Shida Yangu Kubwa Naombwa Kuelekezwa Namna Ya Kubet Online! Iwe Meridian, M-bet, Ladbrokers, Etc! Kisimu Ninachotumia Ni Tecno Y3. Ni Hilo Tu Wakuu! Nawasilisha.
Kuna siku nilitumia 120,000/=tsh kubet, nikala 47,000/=! Mtoaji hela akanipa 40,000/=tsh, elf 7 akazuia yeye akidai apate japo maji! Hajui kama mikeka mingine nilobet kwa pesa kubwa imechanika! Hatar sana hawa watu! Bora madem wanaombaga, tena buku 2 tu yy anaridhika!
Waganga kama hawa dawa yao ni risasi tu! Maana ni umbumbumbu kuugeuza utapeli ndo fani ya kukuwezesha kuishi! Hata hivo siamin kama kwel katapelia M20+ then ashindwe ku....WATAPEL HAOHAO WAJINGA!
Salaam! Naomba mnijuze kama PREMIER BETTING au MERIDIAN tayari wapo hapo Tabora au bado hawajafika? Kama tayari wapo, nitajie eneo walipo, nataka kuwatembelea leo!
Wasalaam! Nakihitaji sana kitambulisho cha mpiga kura na kwasasa nipo nje ya dar! Naomba kufahamishwa tarehe ya mwisho kuandikisha hapo dar. Pia naomba kufahamishwa mikoa ambayo zoezi hili bado halijafanyika ili kama nitachelewa zoezi hili likafungwa kwa dar basi nijaribu kujimuvuzisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.