Recent content by SEBASTIAN MWALIMU

  1. S

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nipo manispaa ya songea natafuta mwalimu wa kubadilishana nije MBEYA JIJI, idara sekondari,,,mwenye uhitaji npm
  2. S

    Kwa mwalimu wa Geography

    Jana nilikuwa napitia baseline ya kidato cha kwanza imetolewa na wizara ya ELIMU chini ya uangaliz wa British council nmeona kuna sayari nane Pluto hamna, pia hicho kitabu cha Oxford kinaonesha kuna sayari name, but kuna kitabu kimetolewa na TIE kinaeleza kuna sayari tisa na pluto...
  3. S

    Sio kweli kuwa walimu wote walifeli mitihani

    Waambie jamaa maana wanaiga kama kasuku, hawajafanya utafiti wanacopy na kupest then wanadraw conclusion, haa haaahaaaa pole yao sana, something is better than nothing, kuna watu hum wanajgamba eti wamesoma vtu vikubwa halaf wapo kitaa kila siku wanazunguka na bahasha za kaki mikononi,
  4. S

    Sio kweli kuwa walimu wote walifeli mitihani

    Mie ni mwl kama jina linavyoonesha hapo juu but sikuwahi feli, maana o_level Nina div two na advance div one, sasa nashangaa watu wanajadili out of facts, walimu wengi wa secondary wenye degree wana ufaulu mzuri tu tena kuliko hata wanaojgamba humu ila tu kuna sababu mbalimbali zinazopelekea...
  5. S

    Mabadiliko ya Tarehe Ajira za Walimu

    Something is better than nothing, askutishe huyu maana kwa graduates wala haisumbui hata kidogo
  6. S

    Utafiti: Kwanini walimu wamefika hapa walipo leo

    Ww inaonekana ulifaulu sana eee, labda tuweke matokeo yako na cc ili tujue upo sahihi ama nn, frankly speaking mie ni mwalimu but ni mwalim wa kufaulu vizuri o level Nina dv two,advance one .sasa utaropokaje eeee walimu ni watu waliofeli? Acha dharau
  7. S

    Tangazo la kazi kwa walimu

    Mbona gvt ni zaidi ya hapo? Au ungespecify mia saba elf kwa graduates au kwa diploma holder
  8. S

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Watu wa songea manispaa karibuni kwenu, nataka rudi Mbeya jiji, au Mbeya vijijini, karibuni sana, kama upo tayari nicheki kwa namba hii hapa 0765656144
  9. S

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nipo Manispaa ya SONGEA nataka rudi Mbeya jji, idara ya ELIMU secondari, aliye tayari anitafuta KWA namba hiyo hapo chini 0676256144
  10. S

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Anayetaka kuja SONGEA Manispaa mie niende Mbeya city tuwasiliane!! , nipm
  11. S

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    njoo songea manispaa nije mbeya jiji. Sec,0765656144
  12. S

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    what's up teachers,? Naomba kubadilishana ktuo cha kazi,aje SONGEA MANISPAA niende MBEYA JIJI. Idara sec
  13. S

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Anaetaka kuja songea mjini niende mbeya jiji,nitafute 0765656144,,0682507621
  14. S

    Mwalimu umepangiwa Wilaya gani? Kutana na wenzio Hapa

    Hi walimu,nipo SONGEA MANISPAA natafuta mwl wa kubadilishana nae ktuo kutoka MBEYA JIJI. Idara, SEKONDARI, Call me 0765656144, 0682507621
Back
Top Bottom