msaada!
Sheria ya ndoa inabainisha kuwa mume na mke mkika pamoja zaidi ya miezi mitatu tayari nyinyi ni mume na mke, sasa je! Mwanaume ukimtolea mwanamke mahali harafu hukuweza kukaa naye ndani ya mwaka mmoja yeye yupo kwao na mwanaume yupo kwao je! Hawa ni wanandoa au mume na mke?
pole axna dada yangu 1st nenda utubu kwa muumc wako kwa kujua cku moja pua yako itaangalia juu hafu jaribu kuongea na mumeo najua unatatizo la faragha na mumeo dhahl uldhk tatizo lenu nyny wanawake mnapenda pesa na sio penz hyo ndio tamaa ya pesa upati mahaba ya kwl jipange?
watanzania hata elimu ya mtaani hakuna kichwani loo!! Unakubari kufa coz eti serikali mpaka ikulpe ndio uhame mabondeni ulivyokwenda kununua kiwanja ilikuchagulia kiwanja lilia elimu na c ujinga huo na mwaka huu mtakiona sir god leta mvua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.