Recent content by SEBABIC METAL WORKS

  1. S

    Wazazi tumejiandaaje na watoto kufungua shule na vyuo? Zaidi ya kifedha, tujiandae pia kisaikolojia

    Kuna wazazi lazima watapoteana kwa hili suala Sent using Jamii Forums mobile app
  2. S

    Kiwanja kinauzwa

    Punguza kidogo basi
  3. S

    Kiwanja kinauzwa

    Sio hivyo mkuu....Kiwanja kinauzwa 3 mill
  4. S

    Kiwanja kinauzwa

    Tayari mkuu
  5. S

    Kiwanja kinauzwa

    Katoro Geita mkuu
  6. S

    Kiwanja kinauzwa

    Sio wote mkuu....
  7. S

    Kiwanja kinauzwa

    Salaam wana jukwaa, Husika na kichwa cha habari hapo juu, Kiwanja kinapatikana maeneo ya Geita-Katoro maeneo ya Mombasa Raha, Kina ukubwa wa -urefu ni 30 upana ni 28. Bei ya kiwanja ni million tatu (3,000,000). Nyaraka halali za umiliki wa kiwanja zipo. Kwa mawasiliano zaidi piga 0764-676-110...
  8. S

    Maria Sarungi

    Azarel, Kwahiyo hiyo ni copy ya Kijaluo mixer mtasha au sio
  9. S

    Najuta kuhamia kwangu Kerege

    Mkuu shukuru hata umejenga japokuwa ulikuwa hujajipanga, ila naamini ulijipanga ndo maana ukajenga....kuna vijana hata chumba cha kupanga ni utata..
  10. S

    Sebabic metal works

    Asante kaka...ushauri wako naufanyia kazi
  11. S

    Sebabic metal works

    Ushimen icheki hiyo Rolling gate mkuu...ngoja ni-upload zingine...hapo ilikuwa kwenye hatua za awali za matengenezo
  12. S

    Sebabic metal works

    Uzi ulijipost kabla ya kumalizika mkuu..tunapaikana Geita mjini....najaribu ku-upload picha inazingua kidogo... Si punde mambo yatakaa sawa... Naomba usome vizuri huu uzi tayari nimeukamilisha
  13. S

    Sebabic metal works

    Habari ya leo waungwana, SEBABIC METAL WORKS ni wajasiriamali tunaojihusisha na kazi za vyuma (Metal works) na uchomeleaji (Welding). kwa ujumla tunajihusisha na shughuli zifuatazo:- >Steel and metal fabrication (uchomeleaji wa vyuma) >Welding of grills (kuchoma mageti,madirisha na milango ya...
Back
Top Bottom