Wazazi tumejiandaaje na watoto kufungua shule na vyuo? Zaidi ya kifedha, tujiandae pia kisaikolojia

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,358
153,996
Mwezi wa January wazazi tulilipa ada kwa ajili ya wanetu wapendwa.
Kuna shule nyingi Sana ambazo ada hulipwa kwa awamu nne kwa mwaka, yaani January, April, July, na September.

Kila baada ya likizo tunalipa ada.
Je ulijiandaa? Nawaonea huruma wenzangu na Mimi ambao baada ya ujio wa brother COVID-19 walisimamishiwa mishahara yao na kuambiwa wakapumzike nyumbani, hasa ikikumbukwa kwamba makali ya Corona tulianza kuyaonja mifukoni alipotoka Mkwere madarakani.

Kimbembe Sasa kwasababu inaoneka korona ni ugonjwa wa kukaa nao na inatakiwa tujifunze namna ya kuishi nao hivyo basi hata mahitaji ya wanetu shule yatabadilika.

Wenye shule wataleta school barakoa uniform, ada ya nyungu, ada ya maombi watoto wasidhurike na Corona etc..

Huu ndio wakati tunauza vitu vyetu vya thamani kubwa kwa bei ndogo Sana, tunaingia madeni yenye riba kubwa Sana na za ajabu, baadhi wake zetu kwenda kudanga , na kuanzisha mahusiano haramu na yasio mazuri.

Kwa kweli mengi mabaya zaidi ya mazuri yanakuja, tutege sikio na kuvuta roho ya subira na uvumilivu
 
Elimu ya msingi ni bure, hizo za kulipia ni kujitakia.... mara nyingi ni chaguo la mzazi kwa kujiridhisha.
 
FB_IMG_15898134288491303.jpg
 
Mwezi wa January wazazi tulilipa ada kwa ajili ya wanetu wapendwa.
Kuna shule nyingi Sana ambazo ada hulipwa kwa awamu nne kwa mwaka, yaani January, April, July, na September.

Kila baada ya likizo tunalipa ada.
Je ulijiandaa? Nawaonea huruma wenzangu na Mimi ambao baada ya ujio wa brother COVID-19 walisimamishiwa mishahara yao na kuambiwa wakapumzike nyumbani, hasa ikikumbukwa kwamba makali ya Corona tulianza kuyaonja mifukoni alipotoka Mkwere madarakani.

Kimbembe Sasa kwasababu inaoneka korona ni ugonjwa wa kukaa nao na inatakiwa tujifunze namna ya kuishi nao hivyo basi hata mahitaji ya wanetu shule yatabadilika.

Wenye shule wataleta school barakoa uniform, ada ya nyungu, ada ya maombi watoto wasidhurike na Corona etc..

Huu ndio wakati tunauza vitu vyetu vya thamani kubwa kwa bei ndogo Sana, tunaingia madeni yenye riba kubwa Sana na za ajabu, baadhi wake zetu kwenda kudanga , na kuanzisha mahusiano haramu na yasio mazuri.

Kwa kweli mengi mabaya zaidi ya mazuri yanakuja, tutege sikio na kuvuta roho ya subira na uvumilivu
Katika yote uliyoandika nimevutiwa na aya unayokiri, kiaina, kuwa "lockdown" haikuwa na haitakuwa njia sahihi ya kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya COVID-19. Je, kama Rais Magufuli naye ange "copy & paste lockdown" ni hakika uwezo wa wazazi kugharamia mahitaji ya watoto kurudi shuleni, ungekuwa kImbembe zaidi pasua kichwa.

Nikinukuu Kimbembe Sasa kwasababu inaoneka korona ni ugonjwa wa kukaa nao na inatakiwa tujifunze namna ya kuishi nao hivyo basi hata mahitaji ya wanetu shule yatabadilika.
 
Zakuambiwa changanya na zako, habari za kuambiwa mtoto kadondoka shule kwa kushindwa kupumua ni ufarasi wahedi..
Tafiti zimethibitisha kuwa mwili ulio "active" haupati maambukizi na hata ukipata maambukizi kinga yake iko juu. Kwa jinsi ya maisha ya watoto wa shule, wakati wote kwenye pilika pilika, miili yao itakabili maambukizi. Ila wakiendelea kufungiwa ndani, kinga yao itakuwa inashuka siku hadi siku
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom