Nani kakuambia mtu anapokea mshahara afu hana majukumu.. Hata hao wakununua pedi ni jukumu lao mojawapo.... Wanasaidia ndugu zao... Pia wengi walikopa madeni makubwa zamani saivi ndo yanawasumbua kulipa... Pia ATM zao humilikiwa na wanaokopesha pesa.
Unaongea afu ukute we na familia yako mnanuka shida... Maisha yangekuwa mazuri kwako nadhani usingeandika hii kitu.. Ungekuwa upo site unapiga dili.. Fanya utafiti kwa unachoongea
Ndo umeandika nini.. Nenda mashambani kaangalie wakulima wanavyoteseka.. Hakuna mbolea za ruzuku... Na mahindi soko bayaaaa kuliko kawaida... Watu wamechoka uongo... Mnyonge yupi anayepiganiwa... Nahisi mnyonge hapa ni mwanasiasa nguli wa ccm..kwa wanampigania azidi kunyonya... Baadhi ya majimbo...
Habari zenu na pia poleni kwa majukumu mnayoyafanya katika suala zima la ujenzi wa nchi.. Mimi nina ushauri kwenu nikiamini kama hamtasoma huu ushauri basi kuna watu walio karibu yenu watasoma na kuwapa huu ushauri..
Kwanza kabisa nianze kuwapa pole kwa yale yanayotokea.. Mimi kama mtanzania...
Tanzania bana.. Polisi wanaogopa watu kuandamana afu hapohapo wanasema wako vizuri.. Kama mko vizuri kuzuia maandamano fanyeni kutoa kibali watu waandame maana uwezo wa kudhibiti mnao.. Mkikataa kutoa kibali manake hamuwezi kudhibiti.. Lakini pia wale wanaotaka kuandamana...fuateni sheria...
Mi sio mtumishi wa umma.. Ila naandika tu jinsi nilivyogushwa na ndugu yangu aliyeomba kubadilishiwa kituo cha kazi..
Naona jinsi anavyoteseka kusubiri majina eti kisa anasubiri TAMISEMI mtoe majina ambayo mpaka leo hamtoi na mnaendelea kula mishahara minono huku ndugu zetu sisi wakihangaika...
Niliwahi kumuuliza demu wangu.. Akanambia ujue mi sipendagi uvae cheni na vitu vya kung'aa sana.. Nataka uwe kawaida tu... Ndo maana nikiona una kitu nisichokipenda huwa nakuomba.. Ko ndugu yangu kuwa makini.
Demu akikuomba shati juaga mzigo haumpendez ukivaa
Hata lini wajinga watajua maarifa yao.. ? Rubbish ni yule wa kucoment post ambayo tayari ameshaiona ni ya kipumbavu.. Na hata siku moja hatoweza kujitambua na kuyafahamu mawazo yake ambayo yanafikiri bila kujua yanafikiri nini.. Labda kuwazia kwa kichwa cha chini ambacho ndo kinamaarifa mazuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.