Hujanikwanza mkuu.
Umesema vema kwamba mambo yakiislam tuwaachie waislam wenyewe, hayatuhusu, sasa kwakuwa hayatuhusu watanzania wote, kwanini liwekwe kwenye katiba? Kwani mukianzisha hata leo tatizo nini, nani kawazuia, kunasababu gani za msingi zakuwekwa kwenye katiba?