Recent content by screentouch

  1. screentouch

    Mh. Samia Suluhu aendelea kuivuruga Arusha, UKAWA wapoteza Kura za akina Mama

    hivi huyo samia kichwani ziko sawa kweli? anajua miaka milion 200 au anakamtindio kaubongo?
  2. screentouch

    Kiwanja chenye HatiMiliki kinauzwa 12.5m tu

    Kipo Ilala Buyuni. Kina hatimiliki, bei 12.5milioni, ukubwa 400sqm 20x20. Kipo eneo la biashara ni miongongi mwa vile viwanja vya mradi wa viwanja elfu 20 vya mwaka 2000. Mtaa wanaishi VIP tupu, mtaa umepangika umejengeka magorofa yakufa mtu. Yaani ukifika pale utapapenda. miundombinu ya umeme...
  3. screentouch

    Ushauri wa bure kwa Waislam

    Unamaanisha nini?
  4. screentouch

    Ushauri wa bure kwa Waislam

    Mbona unakauli chafu mkuu? Turudi kwenye, unadhani kunaulazima gani wa mahakama yakadhi kuwepo kwenye katiba?
  5. screentouch

    Ushauri wa bure kwa Waislam

    Kwa namna Serikali haiwezi kuruhusu kila mtu kuwa na mahakama anayojisikia yeye kuwanayo. Kama Waislam wanaona hawatendewi haki na mahakama zilizopo kwa mujibu wa Quran hata Wakristo watadai mahakama yao kwasababu mahakama zilizopo haziwatendei haki kwa mujibu wa Biblia Takatifu. Mfano Biblia...
  6. screentouch

    Ushauri wa bure kwa Waislam

    Utani tu mkuu sikumahanisha nilikuwa najihami kuwapiga mkwara watu we ye matusi. Sorry for that.
  7. screentouch

    Ushauri wa bure kwa Waislam

    Hapa hatupo kwenye histori. Tunaelimishana kuhusu umuhimu wa mahakama yakiislam 'kadhi' lakini kujua asili yetu sio zambi. Ujue kwamba kabla yakuja ukoloni Tz hakukuwa na Muislam wala Mkristo, tofauti zililetwa na wakoloni watunyonye kirahisi.
  8. screentouch

    Ushauri wa bure kwa Waislam

    Nasikia BAKWATA. Mimi nakuelewa sana mkuu. Nimeanzisha uzi huu kwa lengo lakujifunza lakini nashangaa watu wananitusi badala yakuelimishana. Hivi ukifika Tandahimba pale Mtwara ukimwambia mtu wa pale tunataka mahama ya kadhi unadhani atakuelewa? Chamsingi kwa wale wanaofahamu awe muislam...
  9. screentouch

    Ushauri wa bure kwa Waislam

    Naomba nijifunze kutoka kwako mkuu. Tunafahamu kwamba hakuna maelewano mazuri kati baina Tanaka mbili zaislam hapa tz yaani Suni na Shia, sasa Je tutahitaji mahakama ya kadhi ya washia na mahakama ya kadhi ya wasuni? Vipi tutahitaji magereza za waislam? Samahani naomba nisikukwaze lengo...
  10. screentouch

    Ushauri wa bure kwa Waislam

    Kwani kisutu wameshindwa kumaliza kesi ya Juma na Hassan? Kwanini musidai magereza munataka mahakama bila magereza? Polisi wenu waendesha mashtaka watakuwa Boko haramu, Alqeda au Alshabab?
  11. screentouch

    Ushauri wa bure kwa Waislam

    Toa sababu za msingi acha matusi. Tupo kujigunza na kuelimishana. Hakuna Surat yoyote kwenye Quran imeagiza mahakama ya kadhi iwekwe kwenye katiba. Kama ipo iweke hapa.
  12. screentouch

    Ushauri wa bure kwa Waislam

    Kabla yakuja Waarabu Waafrika wote walizaliwa nje ya ndoa. Kanusha kama umesoma.
  13. screentouch

    Ushauri wa bure kwa Waislam

    Hujanikwanza mkuu. Umesema vema kwamba mambo yakiislam tuwaachie waislam wenyewe, hayatuhusu, sasa kwakuwa hayatuhusu watanzania wote, kwanini liwekwe kwenye katiba? Kwani mukianzisha hata leo tatizo nini, nani kawazuia, kunasababu gani za msingi zakuwekwa kwenye katiba?
  14. screentouch

    Ushauri wa bure kwa Waislam

    Luna muislam mwenzako kasema hivyo tena katoa na ushahidi kwenye uzi wenye title "Ukawa kuparaganyika kesho". Kaso uone muislam mwenzako alivyojisifu.
  15. screentouch

    Ushauri wa bure kwa Waislam

    Kwanini inalazimishwa kuweka kwenye katiba? Inafaida gani kwa taifa?
Back
Top Bottom