Recent content by scrappycoco

  1. scrappycoco

    Kukamatwa, kupigwa risasi Lissu: Chama cha Wanasheria Uingereza chamlima barua Rais Magufuli

    Umenena vyema kabisa kiongozi. Kama siye wenyewe tumegawanyika madndeleo ya kweli hayawezi kupatikana. Hata nchi zilizoendelea zenye demokrasia ya kweli hupingana tu mitazamo ya juu juu lakini zile core values na interests huwa ni moja
  2. scrappycoco

    Rais Magufuli sasa ni "ama "Tanzania "ama "Makonda"

    Amani iwe kwako mkuu vuguvugu
  3. scrappycoco

    Dkt. Magufuli akubali yaishe maisha yaendelee

    Swali langu lingekuwa hilo hilo. Watu walipishwe kodi kwa kutembea au? Maana kodi zote wamelipisha ndo wamepata hizo trilioni 12
  4. scrappycoco

    ATCL kuanza na kosa la kwanza

    Ni kweli boss ila ukiwa na akili za biashara lazima uhakikishe una capture possibility zote za wateja kufanya biashara na wewe. Kuna watu hasa wa umri mkubwa wapo comfortable zaidi hard copy ticket kuna watu wanafurahia e-tickets. Kuna watu wengine ni slow learners wanataka waulize maswali kama...
  5. scrappycoco

    ATCL kuanza na kosa la kwanza

    Mkuu natumaini hili wazo lako litawafikia walengwa na haya maagizo yatatenguliwa hata kama ni kwa siri
  6. scrappycoco

    Maandamano kwenye Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani

    hehehehe, mkuu umeliezea hili swala vyema.
  7. scrappycoco

    Malawi yadai kuishtaki Tanzania kwenye Umoja wa Afrika(AU)

    Mkuu hilo ndo linalonishangaza. Hii ramani tumeichora kama inavyotakiwa iwe. Itabidi "watuformat" akili zetu zote ndo hilo lifanikiwe
  8. scrappycoco

    Raia Mwema: Benki zakumbwa na ukata

    Hehehehe, mkuu nimekukubali. Kweli wewe ni prof wa uchumi
  9. scrappycoco

    Mhe. Rais, hii ndiyo Julius Nyerere International Airport inavyowatesa wageni na kuwakimbiza

    Sawa kabisa mkuu, hawa wazungu nafanya nao kazi muda mrefu, ukiona analalamika ujue ni dharau au racist. Kuna mambo tunayopaswa kuongeza ufanisi kwa ajili ya kujiletea maendeleo ila si kwa sababu mzungu amelalamika
  10. scrappycoco

    Kambi ya Lowassa kazini: Askofu Laizer aunga mkono Lema kuondolewa Arusha!

    aende zake huko, ukiwa mtumishi wa Mungu unapaswa kuangalia haki na siyo ushabiki ambao hauna maana
  11. scrappycoco

    Rostam Aziz aachia ngazi CCM

    hawa jamaa hata hatuwaelewi, huyu anamsema huyu, kama vipi watoke tu wote tuitishe uchaguzi upya, darn t
Back
Top Bottom