Chonde chonde angalizo big teams usiwape direct wins maana wametoka kucheza UEFA na wengine UEROPA na bado J5 wanajitafuta wabakie UEFA au EUROPA Ina maanisha mechi za weekend kuna baadhi wachezaji wa muhimu watapumzishwa na usishangazwe na matokeo ya leo 🤣😂🤣
Hamia sportybet kuna options nyingi na odds nzuri, utofauti wake ni kwamba mechi za nyumbani huwa wanachelewa sana kuziweka ukilinganisha na sportpesa.
[emoji23][emoji1787][emoji23] we kwa Hali hii soma ujiajili tu, siku hizi ajira Ni connection ( unamjua Nani) . Haya wadogo zangu endeleeni kusoma kupoteza muda tu.
Huu ujumbe iwafikie serikali kuu mpaka serikali ya mtaa. Imekuwa Ni kero huku mtaani. Kama viongozi wa serikalini wangekuwa wanaishi mazingira haya sidhani wangekubali Hali hii iendelee.
Unachoelezea ni sahihi kabisa inategemea sehemu mtu anakopangwa au connection. Wanaofanya department customs ( forodha) ndio usiseme huko. Nenda Tunduma [emoji1787][emoji23] customs officers wanahamishwa Sana huko hawafikishi miaka miwili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.