Jamani tuwe waelewa kidogo kwenye kuvutia wakezaji au ujenzi wamagora mbeya majengo marefu ya meanza kujengwa juzi tu miji mengine toka zamani wanajenga ata ivyo selekali ndio Ina wavutia watu kujenga majengo makubwa ndiomaana Arusha na mwanza Kuna magorofa malefu mengi kwasababu ata selekali...
Kuazia tano nakuendelea yapo mengi kama saba yapo yapo mawili tu nayo ya jua mimi ila mbeya ni mji mkubwa sana ndiomaana ukaitwa jiji au nailo ulioni ndugu
Mbeya zamani walikuwa hawaruhusu majengo marefu saivi ndio wameruhusu na yanajengwa kwa kasi iringa awezi fikia mbeya kwa lolote barabara itajegwa sio mda mrefu mji unakuwa kwa kasi subirini mda sio mrefu mtaekewa kwa nini mbeya ni jiji iringa mansipaa tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.