Recent content by scorpion girl

  1. S

    Maneno ya kejeli ya mume wangu

    nimeumia sana sana sana sanaaaa nimepitia situation kama ya kwako hakika inaumiza sanaaa ila mimi niliondoka bcz maisha ni all about happyness and peace and love and being free ingawa kuanza upya ni kugumu sanaaa kuna umiza mnooo utajikuta unatembea na watoto wadogo bila kujua au unatembea na...
  2. S

    Ndoa ina mwaka sasa inanishinda, sina hamu ya kufanya tendo la ndoa na mke wangu

    tatizo la mkeo linatibika muone dr mwaka ila kimtaani mwambie asafishe uke na shabu uke utarudi na kua mdogo na mkavu ndimu pia husaidia kufanya harufu na maji kukata but kuna kitu kinaitwa mgagani na chenyewe noumer kuna kistiki lazima ulie na hiyo yaani viunga k ni vingi sana huku kwetu tanga...
  3. S

    Hiki ni kitu gani jamani?

    ur so bwegering umekuta hiyo si ushukuru she was doing it for u atlist hadi urudi ungekuta njembaa lina mhudumia na kumpa vitu adimu ungetuuliza
  4. S

    Ukweli kuhusu kutoa haja kubwa na ndogo wakati wa kujifungua

    Ni normal na inaweza kumtokea mtu yeyote hii inatokana na mzazi kula chakula masaa sita yaliopita so mmeng'enyo wa chakula umefanyika na hali ya kujifungua imekaribia unaposukuma mtoto kama ile haja ipo karibu unaisukuma pia, so hutoka pamoja na mtoto na wale wanao pee ni hivyo hivyo na hii ndio...
  5. S

    Miaka 9 katika ndoa - Simuelewi mume wangu naomba ushauri

    shoga mara tatu kwa mwezi mumeo ni mgonjwa kitambooo au wewe ndio ulikua na tatizo sema alikupenda sana akaamua kukuoa hivyo hivyo bila kukuambia ila ndio akaamua kufanya mara chache hivyo mwanaume rijali hamalizi hata wiki lazima aombe mzigo shoga na nakuapia kama haumwi huyo mumeo basi jua ana...
  6. S

    Alinidanganya kuwa hana mtoto ila sasa kakubali kuwa anaye

    mwenzangu nakupa makavu live unawaambia wazazi wako kua ana mtoto ili iweje kwani wao ndio wataishi na huyo mtoto hilo moja pili je umewaambia kua umemkuta sio bikra?? kuna vitu vingi vinakuhusu wewe muoaji na sio wazazi wako wewe sema hujapenda msichana wako kuzalishwa na dume jingine lkn cha...
  7. S

    Single this valentine

    tupo wengi mimi mwenyewe single lady duuh valentine hii noumer
  8. S

    Unapopata Bwana Mpyaaaa Wa Ukweliii And Your Old Rag BF anazidisha wema na mapendoo.! Imemkuta!

    well then u have all the ans u wanted my dear and i think she already decide
  9. S

    Nitumie application gani kupata sms anazotumiwa mpenzi wangu?

    ukisha zisoma then what utaweza kumuacha je utaweza kumbadilisha je atakubali kuacha je utagombana utafanyaje nothing zaidi ya kutengeneza uadui na umpendae trust me i know inaumaaa sana heri ujue cha kufanya kuliko uzisome uishie kulia na wala usimzuie kufanya lolote sana sana atakudharau...
  10. S

    Tumsaidieni huyu dada

    pagumu hapo ila ajiambie alipovumilia panatosha ampe nafasi tuu na yeye ajipe nafasi ya kupumua akili itakaa sawa tuu atajua nini cha kufanya
  11. S

    Mwanamke kung'ang'ania kwa mwanaume

    wanaume jamani mungu tusaidie sana huyo ni dem kama ulivyosema au mkeo maana siku hizi mke sio lazima ufunge nae ndoa unakaa na mtoto wawatu 10 yrs unamuita demu huyo kaja kwake umeishi nae tangu ana miaka 21 mpaka sasa ana 30 unamuita dem huyo kaja kwake na anajua why unamfukuza unataka...
  12. S

    Unapopata Bwana Mpyaaaa Wa Ukweliii And Your Old Rag BF anazidisha wema na mapendoo.! Imemkuta!

    my fiance amenitosa kisa rich girl tena yupo serikalini hako ka rich girl nilifukuzwa kama mbwa jizi kama hanijui kama nimekutana nae jana na hivi ninavyo andika katokea jibaba naona billions mbele yangu soon enough natembelea green posture honest huyo dada amuue mawili amuache mpnz wake wa...
  13. S

    Hivi mpenzi wako mlioachana anaweza kukuachia laana?

    laana ipo kati ya wapenzi hasa wa muda mrefu ila inategemea mnachoachania kama huyo binti ametenda kosa moja na wewe ulimkosea mara mia moja unajichetua huelewi na kama ameomba msamaha ukamkatalia ili hali wewe alikusamehe ukajichetua kua hukumbuki wala huelewi kosa lake limekuuma sana ndio...
  14. S

    Lipi bora, kujua au kutojua?

    mimi kwangu sawa tuu uniambie au usiniambie ila kama utaniambia ni faida kwangu bcz naweza okoa ndoa yangu ila hasara ni kwamba at the time naokoa hiyo ndoa itakua hakuna amani na kumuamini tena itakua ngumu ila kama utaona huwezi kuniambia naomba umkanye yeye but honest mimi ilinitokea ila...
Back
Top Bottom