"THE NETWORK" Tunaleta huduma mikononi mwako.
Habari wakuu..!
katika pitapita za kimaisha nmekutana na hali ambazo ninakuwa na uhitaji wa kupata huduma flani kwa haraka pasipo kujua jinsi gani naweza kupata au kutimiza hitaji langu kwa wakati. Kuna nyakati nmekuwa nkikutana na post za watu...
Habari wana jukwaa..!
Kama kichwa kinavo jieleza, nimeamua kuandika Uzi huu mahsusi kwaajili ya vijana wenzangu nikiamin vijana ni nyezo ya muhim Sana katika ujenzi wa taifa..
Vijana ni nguvu kazi, ni mtaji lakini pia ni raw material katika masula yote katika taifa..
Kundi hili kimsingi Lina...
ameyasema haya pia
"Viongozi wanahaki na wajibu wa kuzungumzia siasa tangu agano la kale" ...
ametoa na ushahidi wa visa katika biblia kusapot hoja hyo
"Anayesema viongozi wa dini hawapaswi kuzungumzia siasa haelewi wajibu wa viongoz wa dini"
"kwang mm viongoz wana wajib wa kukemea maovu ya...
Habari za muda wakuu,
Natumaini nyote mnaanza mapumziko ya mwisho wa wiki salama,
Turejee kwenye mada tajwa.
Ni kwa muda mrefu sana tumekuwa tukisikia maswala ya kiunyanyasaji yakifanywa na wakufunzi wa vyuo dhidi ya wanafunzi kwa masilahi yao binafsi.
Mfano maswala ya kuwaomba wanafunzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.