Hiii hali tunasoma namba wote, walianza na makinikia wananchi wengi wakashangalia sn wakasahau kina watu zaidi ya elfu tano wamepoteza ajira sasa ni zamu ya wavuvi hasa kanda ya ziwa leo et mnanza kulia lia tu kutafuta huruma ya wananchi,kila mtu ataguswa kwa wakati wake.waziri chapa kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.