Mimi sitaki kusikiliza upumbavu. Mtoa maada umeonyesha udhaifu mkubwa Sana wa upumbavu wako
According to this post Who is stupid
Who Doesn't know about Tanzania Or Tanzania?
Kutokujua kuhusu Tanzania Inaonyesha Ni kiasi gani hukusoma
Ni wajibu wa Mtu kujua kila nchi na opportunities zake...
Wacha afanye Kwa sehemu Mungu atakayomjalia. Ila Hali ni mbaya Ndio ukweli. Isitoshe Serikali itahakikisha Kwa gharama yeyote hashindi Kwa sababu
haungi mkono wenye mamlaka katika kuchakachua Rasilimali za nchi.
Lingine Mawakili wenzake wengi wamenajisika Hili liko wazi
Mawakili wasomi wote...
Check wajamaa wa TaTanga Tours watakupa local activities za Iringa
Upelekwe Kalenga ngomeni
Daytrip ziko nyingi
Pia Ruaha National park you can do it Daytrip tour
Wanawake wenye wivu wa kijinga kama nyie mnarudisha maendeleo ya familia Nyuma
Eti sina Imani na safari ya Mume wangu
Unataka akae hapo muote Moto wa umasikini. Nilioa mwanamke kama hili
Nikalifukuzia mbali huko. Wivu mwingine unakuja kama upendo Kumbe Ni wakala wa shetani. Break through...
Too late. Mlijifanya watu wa Fujo Mkashindwa kutumia Uhuru wa kuabudu vizuri Sasa mnasaidiwa na Serikali kusimamia Dini yenu
Sasa hivi Serikali imewekeza huko mnafanya kazi Kwa ubia na Serikali. Kaeni mtulie maisha yaendelee
Ok. Nimekuelewa Sana Mtoto wangu alikuwa kila ikifikia saa nane usiku anakohoa hadi anatapika kila alichokula Ndio atapata usingizi. Mchana haumwi chochote
Hospital Hakuna majibu. Ikawa namuambia Mungu shida Ni nini huyu mtoto Roho yangu inaniuma Sana usiku mtoto anateseka
Jambo likachukua Muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.