Recent content by Scarlet Pimpernel

  1. S

    Tunarudi nyuma? Uchumi wa Tanzania unatarajiwa kukua kwa 4%

    Mimi nadhani IMF wangefunguliwa kesi ya money laundering wakaozee ndani..... :-)
  2. S

    IMF April 2019 GDP Figures. Kenya Hits $99 Billion.. Tanzania Overtaken by Ghana

    Cognitive Dissonance - when one sees plenty of evidence to contradict their beliefs it causes a psychological discomfort. The most common result is that the person will look for an excuse to justify their position.So all you see is 'cooked GDP" of Kenya?
  3. S

    Hili ni jaribio la 3 la Clouds FM kumshusha Diamond, naamini utashinda tu

    Hiyo kawaida. Mapenzi no tofauti mchi na nchi
  4. S

    TANESCO wahukumiwa kuilipa IPTL Tshs Billion 700 ikiwemo Tshs Billion 306 zilizochotwa katika Account ya Escrow

    Sethi ndio waliomtumia kuiba hizo hela. Hakuwa mmiliki halali, sasa wamuachie kivipi?
  5. S

    Hivi ndivyo UDART inavyopigwa, Serikali mmejipangaje kwa hili?

    Sio kwamba yuko busy na wanawake wa nyumba ndogo waliotelekezwa?
  6. S

    Mpende, mchukie lakini Zitto anaendelea kuwa mwanasiasa adimu katika Tanzania yetu

    Kwa hiyo mwenye kosa siyo aliyeweka hela bali ni Zitto? Yeye ndiye mwenye hilo jukumu?
  7. S

    Zitto Kabwe aombe radhi hadharani kwa kupotosha umma

    kwa hiyo CAG haukumuona Azam TV akiongea sio?
  8. S

    Kuapishwa kwa majaji Ikulu: CAG mbele ya Rais Magufuli, akanusha Shilingi trilioni 1.5 kuibwa/kupotea

    Kwani wewe hujamuona CAG anasema 1.5 trillion haujulikani imetumika wapi kwenye TV? Sasa kabadilisha statement aliyosema Azam TV
  9. S

    USISAHAU: TZS 1.5trilioni hazina maelezo. TRA wamedanganya trilioni 2.2 makusanyo mwaka 2016/17

    Waliamua kukaa kimya ndio maana. Nchi nyingine sio hivyo
  10. S

    USISAHAU: TZS 1.5trilioni hazina maelezo. TRA wamedanganya trilioni 2.2 makusanyo mwaka 2016/17

    Ni kweli lakini kuwa-ignore ni sawasawa na kuwapa nguvu waendelee
Back
Top Bottom