Zitto Kabwe aombe radhi hadharani kwa kupotosha umma

Duh balaa zamani nilichukua wazungu kwa kudhani ndo wanatufanya kuwa masikini lkn hapana ni sisi wenyewe ona hela nyingi aionekani mtanzania anachukulia poa tena ni masikini kabs wa hali mbaya kisa uchama na ndo imetoka tena
 
View attachment 750769
Hii sio mara ya kwanza kwa mheshimiwa huyu kujitokeza hadharani na kuzua mambo yenye kuleta taharuki na usumbufu kwa umma.

Uzushi wake hulenga kuchafua na kufarakanisha umma wa Watanzania.

Naweza kurejea mifano kadhaa ya matamko yake yenye uzushi na yanayojaribu kutumia misinterpretation ya taarifa mbalimbali ili kuvuruga thinking ya jamii.

1-Ni miaka takriban 6 Zitto alijitokeza na kuahidi mbele ya umma kuwa ana majina ya vigogo wa serikali na kijamii ambao wameficha fedha Ughaibuni aliahidi kuwataja hadharani ila hadi leo hakufanya hivyo.

2-Mwaka jana tu Zitto alitoka kwenye vyombo mbalimbali vya habari haswa haswa mitandaoni na kuudanganya umma kuwa nchi ina janga la njaa na Rais alipaswa kutangaza hali ya hatari au baa la njaa baada ya kauli hii tulishuhudia mkanganyiko, hofu na taharuki zisizokuwa na ulazima wowote.
Kwa kuwa nchi hii inalindwa na baraka za Mwenyezi Mola neema ya chakula ikawepo hadi tukaruhusiwa kuuza nje na bei ya chakula kushuka haswa.

3-Ni Zitto huyu huyu kwa mara nyingine tena amejaribu kuleta mgogoro na mfarakano nchini kwa makusudi kabisa kupotosha maana na uhalisia wa taarifa ya CAG na hivyo pengine kuwafanya wabunge wasihoji maeneo ya maana katika taarifa ile na wakajikita katika kujadili fallacy zilizoletwa na Zitto.
Yaani ninamfananisha Zitto na "bush-CAG" "bush lawyer" au "bush data analyst"

Maoni/Ushauri
Jamii iendelee kumpuuza mtu wa namna hii kwani tulishawahi kusikia kuwa wapo baadhi ya wanasiasa wanaishi na kupata fedha kwa kuzusha mambo na kuchafua watu ili waitwe na kunyamazishwa kwa hongo.Good thing awamu hii imegoma kufanya haya.

Nashauri wasomi wetu mbalimbali kuchukua role zao na sio kushabikia udaku unaotoka Instagram, facebook n.k zinapokuja ripoti kama hizi zenye kuhitaji utaalamu na sio siasa basi vyama na taasisi mbalimbali za kiweledi na kitaaluma zichukue roles zao kujadili na kuelezea kitaalamu kuhusu taarifa zilizomo.
Tusiwaache wanasiasa kutuaibisha na kuabisha taifa kiasi hiki.

Mwisho:
Zitto aombe radhi kiungwana tu kwani ukiwa beach na watoto halafu ukawa umevaa vazi la kikoi ni lazima upepo utakuumbua na kamwe huwezi ukashindana na upepo wa beach.


Soma: Serikali imepoteza TZS 1.5 trilioni mwaka 2016/17. Imetumia Mabilioni kinyume na Utaratibu, Imelipa Madeni Hewa

Soma: Tamko la Serikali: Hakuna fedha tasilimu ya shilingi trilioni 1.51 iliyopotea, ni madai ya wasiolitakia mema taifa letu

Soma: Kuapishwa kwa majaji wapya Ikulu: CAG mbele ya Rais Magufuli, akanusha Shilingi trilioni 1.5 kuibwa/kupotea


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Ujinga ni mzigo.chukua hatua
 
View attachment 750769
Hii sio mara ya kwanza kwa mheshimiwa huyu kujitokeza hadharani na kuzua mambo yenye kuleta taharuki na usumbufu kwa umma.

Uzushi wake hulenga kuchafua na kufarakanisha umma wa Watanzania.

Naweza kurejea mifano kadhaa ya matamko yake yenye uzushi na yanayojaribu kutumia misinterpretation ya taarifa mbalimbali ili kuvuruga thinking ya jamii.

1-Ni miaka takriban 6 Zitto alijitokeza na kuahidi mbele ya umma kuwa ana majina ya vigogo wa serikali na kijamii ambao wameficha fedha Ughaibuni aliahidi kuwataja hadharani ila hadi leo hakufanya hivyo.

2-Mwaka jana tu Zitto alitoka kwenye vyombo mbalimbali vya habari haswa haswa mitandaoni na kuudanganya umma kuwa nchi ina janga la njaa na Rais alipaswa kutangaza hali ya hatari au baa la njaa baada ya kauli hii tulishuhudia mkanganyiko, hofu na taharuki zisizokuwa na ulazima wowote.
Kwa kuwa nchi hii inalindwa na baraka za Mwenyezi Mola neema ya chakula ikawepo hadi tukaruhusiwa kuuza nje na bei ya chakula kushuka haswa.

3-Ni Zitto huyu huyu kwa mara nyingine tena amejaribu kuleta mgogoro na mfarakano nchini kwa makusudi kabisa kupotosha maana na uhalisia wa taarifa ya CAG na hivyo pengine kuwafanya wabunge wasihoji maeneo ya maana katika taarifa ile na wakajikita katika kujadili fallacy zilizoletwa na Zitto.
Yaani ninamfananisha Zitto na "bush-CAG" "bush lawyer" au "bush data analyst"

Maoni/Ushauri
Jamii iendelee kumpuuza mtu wa namna hii kwani tulishawahi kusikia kuwa wapo baadhi ya wanasiasa wanaishi na kupata fedha kwa kuzusha mambo na kuchafua watu ili waitwe na kunyamazishwa kwa hongo.Good thing awamu hii imegoma kufanya haya.

Nashauri wasomi wetu mbalimbali kuchukua role zao na sio kushabikia udaku unaotoka Instagram, facebook n.k zinapokuja ripoti kama hizi zenye kuhitaji utaalamu na sio siasa basi vyama na taasisi mbalimbali za kiweledi na kitaaluma zichukue roles zao kujadili na kuelezea kitaalamu kuhusu taarifa zilizomo.
Tusiwaache wanasiasa kutuaibisha na kuabisha taifa kiasi hiki.

Mwisho:
Zitto aombe radhi kiungwana tu kwani ukiwa beach na watoto halafu ukawa umevaa vazi la kikoi ni lazima upepo utakuumbua na kamwe huwezi ukashindana na upepo wa beach.


Soma: Serikali imepoteza TZS 1.5 trilioni mwaka 2016/17. Imetumia Mabilioni kinyume na Utaratibu, Imelipa Madeni Hewa

Soma: Tamko la Serikali: Hakuna fedha tasilimu ya shilingi trilioni 1.51 iliyopotea, ni madai ya wasiolitakia mema taifa letu

Soma: Kuapishwa kwa majaji wapya Ikulu: CAG mbele ya Rais Magufuli, akanusha Shilingi trilioni 1.5 kuibwa/kupotea


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

kwa hiyo CAG haukumuona Azam TV akiongea sio?
 
Kwa nini nguvu kubwa inatumika kukanusha ...hii inatufanya raia tusio ktk mrengo wowote wa kisiasa tubaki tukijiuliza..tuki-refer suala la EPA ..kulikuwa na mvutano kama hv juu ya fedha ni za nani hasa..mwisho wa siku tukaona kilichotokea
 
CAG aachie ofisi ya umma amejidhalilisha.
Kwa lipi?

Hampendi ukweli eeh

Ndo mseme zipo wapi matumizi yake hayajawekwa wazi na pia kabla ripoti haijaandaliwa watendaji walipewa nafasi ya kutoa maelezo na wakashindwa kufanya hivyo

1.5 iko wapi nadhani hii ndio hoja
 
Si ameshasema hayuko tayari kubatilisha kauli yake? Na yuko tayari kushtakiwa?? Sasa kwanini muanze kumbeleza!? jingalao kuna haja ya ku compromise na mhalifu kweli

Kama hizo hela wanasema wanamaelezo nazo kwanini Magufuli na watu wake povu linawatoka? Ripoti ya CAG iko bungeni inajadiliwa iliyobaki wahusika ndio wajibu hoja zinazotolewa na sio kazi ya Rais kutetea mapungufu yaliyoanishwa humo kwani ripoti ya CAG ilishatoka mikononi mwake!!

Ni jambo la kushangaza sana kwa RAIS kumsimamisha CAG mbele ya hadhara, na kumuuliza kama kweli kulikuwa na upotevu wa hizo shs. 1.5 trillion !!! Kwa kutumia busara kilogo tu, je ungetegemea CAG apingane na bulldozer hadharani? Haiwezekani pale CAG alishikwa pabaya asingeweza kusema kweli hayo mapesa yamepotea!!! Mtu mzima ilibidi achuchumae tu kwani yeye alimaliza kazi yake kwa kuandika kila kitu kwenye ripoti.
 
Rais wetu ana sifa moja kubwa ambayo ni UONGO!
1.Alipokutana na jamaa wa Barrick mining alitoka akadanganya taifa kwamba wao Barrick wamekubali kuilipa Tanzania tshs 600 milion mpaka leo hakuna kitu.
2.Bombadier yetu mbovu ilivyokamatwa huko Canada kwa sababu ya deni alilolisababishia taifa alikana kwamba bombadBom haijakamatwa!
3.Huku akijua wazi kwamba Paul Makonda ni mwizi wa vyeti alimtetea hadharani kwamba ni msomi mzuri!
Hiyo ni mifano michache tu! Watanzania wenye akili ZETU hatuna imani naye tena amezidisha umbeya,uzushi na uongo!
 
Back
Top Bottom