Recent content by Scania 113

  1. Scania 113

    Ujumbe Kwa TISS; Top 20 ya matajiri ndani ya nchi sharti itawaliwe na Wazawa; huko ndiko kujitawala

    Kwa asilimia kubwa kuwa na utajiri ni juhudi binafsi.
  2. Scania 113

    Nimegundua mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile na mwanamke mwingine

    hii jamii tunaharibu wenyewe una vumiliaje upuuzi pro max. mtafute mshenga umueleze
  3. Scania 113

    Dar: Mlipuko Kigamboni, moto unawaka

    Wewe na nani ? Jamii forum nzima kigamboni anakaa peke yake ?
  4. Scania 113

    Tetesi: Kuna kila dalili hii nchi tunarudi kwenye IPTL nyingine

    Hilo linawezekana kweli ? Tuna mrad mlubwa wa JNHPP alaf tena tuanze kuzalish umeme kwa kutumia mamitambo ya maffut mazito. Jamani Tuna akili kweli sisi ?
  5. Scania 113

    Wanawake mnachukuliaje kutoka na wanaume waliowazidi umri kwa miaka 15, ila siyo wababu?

    huyu wangu nimempita miaka Nane, sijui ni mingi san ?
  6. Scania 113

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    xavior 1000 huu ni mfumo gani sijaujua vjzuri tuelimishane Qibsyl
  7. Scania 113

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    😂😂😂😂😂 Mkuu The green rajab naomba uendelee kututumia picha za taifa letu Tukufu Russia pic zinaleta hamasa san mwaga picha za kutosha Urrraaaa......
  8. Scania 113

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Mfano si mnaona hii iskander ina ng'aa mgando 😂😂😂😂😂😂
  9. Scania 113

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Wanangu Pro Russian nasikia kuna kitengo kwenye OP kazi yao kubwa ni kupaka Missiles mafuta. Wanatumia mafta ya mgando naskia Au ya Nazi sometimez 😂😂😂😂😂😂😂😂Urraaaa
  10. Scania 113

    Upendo ni hisia au chaguo?

    Upendo ni chaguo,,,unajua ukikaa na mtu muda mref mwish wa siku unakua na upendo nae hata kma ni wa kawaida tuu wanasma love glow upend unakua sabab ya kuchagua
  11. Scania 113

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Urrraaaa Hakuna kitu nacho kiombea kama Mungu kumpa maisha marefu V. Putin, kwanza hata akifa kifo cha kawaida. Utasikia machoko wanasema ni US intelligence mission. Japo najua ndani ya rassia kuna putin'ian weng sana
  12. Scania 113

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Urrraaaa. Wanangu Pro Russia Mim nina jambo natak kufhamu baada ya kukamilisha hako ka mkia kaliko baki hapo Ukraine. je tunaimeza Ukraine na kuwa ndani ya mipaka ya russia au Tunafanya michakato ya kuirudisha ile United Socialist Soviet Republic USSR
Back
Top Bottom