Changamkia fulsa nakushauri uombe scholarship ukasome engineering ya amafuta na gas level ya masters kama matokeo yako yako vizuri mbona walimu wenzako wa sayansi pcm wamejajiriwa TPDC kwenye field ya mafuta na gas ambayo bado haijawa na wataalam wa kutosha ukirudi unaweza kubadili maisha yako.
Swali lililo msumbua mh waziri mkuu aliyemaliza mda wake nanona linajirudia kwamba je CRDB ni ya umma si ya umma? Haya maswali yanayohusisha mali ya umma magumu kwelikweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.