Yyt mwenye akili timamu,mpango huu aliubaini.Ila kama kawaida ya mazuzu wengi waliojaa upinzani hasa chadema wanabisha tu kwa sababu muda mwingi wanatumiwa.
Issue ya dawa za kulevya c lelemama,Makonda kagusa pabaya...c kwa chadema,ccm wala wasionavyama,kwa ataraji mapambano hata zaidi ya...
Wana jamvi salama...
Maskini siasa ya tanzania...kijana huyu tegemeo katika familia ya saa nane...
Maskin ben...kijana aliyekuwa dira ya Mbowe kisiasa na kijamii
Maskin ben...kijana msomi,uliyepaswa kulinufaisha taifa kupitia elimu bora...
Ama kweli chadema ni saccos ya wajanja...
Huwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.