Recent content by Saza

  1. Saza

    Muundo wa Serikali ya awamu ya tano

    Pia wakuu wa mikoa na wilaya wafutwe, warudi ma Rigional Development Directors (RDD) na ma District Development Directors (DDD). Hawa ni wataal, hakuna haja ya wanasiasa,
  2. Saza

    Dk. Magufuli, ukiapishwa anza na marekebisho haya ndani ya CCM haraka sana

    Mh. Rais na Mwenyekiti Mpya mtarajiwa wa CCM Taifa, uapishwapo uanze na marekebisho haya ndani ya CCM haraka sana. 1. Mteue Mh. Mangula kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa. 2. Mteue Mh. Paul Kimiti kuwa Makamu Mwenyekiti CCM Taifa. 3. Mteue Mhe. Makongoro Nyerere kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM...
  3. Saza

    Muundo wa Serikali ya awamu ya tano

    Mimi napendekeza hivi:- waziri Mkuu: william Lukuvi 1. Wizara ya Mambo ya nje. Mh. Asharose Migilo 2. Wizara ya Fedha. Mh. Mwigulu. 3. Wizara ya Maji Nishati na Madini. Mh. Dr. Slaa 4. Wizara ya Ujenzi,Mawasliano na Uchukuzi. Dr. Mwakyembe. 5. Wizara ya Sayansi, teknojia na elimu ya juu...
  4. Saza

    Madiwani wote ishirini Monduli wabwaga manyanga CCM, wahamia CHADEMA

    CHADEMA msipokuwa makini mkimpokea Lowassa mtafutika katika siasa za Tanzania kama alivyofutika Zitto kabwe, alidhaii akitoka Chadema atafuatwa na watu wengi amejikuta akiwa mwenyewe. Mimi si mfuasi wa Chadema ila naipenda Chadema maana imesaidia sana kukiimalisha chama cha mapinduzi, kuweni...
  5. Saza

    Madiwani wote ishirini Monduli wabwaga manyanga CCM, wahamia CHADEMA

    watanzania lazima tuwe wazalendo sana, tusiyumbishwe na watu wasio itakia mema nchi
  6. Saza

    Madiwani wote ishirini Monduli wabwaga manyanga CCM, wahamia CHADEMA

    Hya ni maigizo tu ya Lowassa, ccm haifi
  7. Saza

    Makongoro atoa shukrani kwa maprofesa na wanafunzi UDSM kwa udhamini wao kwake

    tunakusubilia sana wilayani Nzega Mh. Makongolo
  8. Saza

    GE2015 Ni Tundu Lissu pekee(Sababu moja sifa kumi)

    Tundu Lissu anafaa sana kuwa AG au waziri wa sheria, atatufaa sana akiwa chini ya Rais Mhe. Dr. John Magufuli. hapo nchi itakaa sawa, ni mchakamchaka. wezi wote jela na fedha zote kurudishwa. Mhe, Mwigulu Apandishwe kuwa waziri kamili wa fedha, Prof, Lipumba awe Gavana BOT, na Dr. Slaa awe PM,
  9. Saza

    Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

    Dr. Kigwangala Wa Nzega Pia Ni Mzigo Harudi
  10. Saza

    Nani anafaa kuwa rais wa Tanzania 2015?

    Jamani hebu na tujadili, Kwa hali ya nchi yetu. nashauli tupate Rais nje ya walio tangaza nia. Naomba Kuwasilisha jina jipya la Barozi Mstaafu wa UN. 1. Ni mzoefu kimataifa. 2. Ni Mwanadiplomasia Makini. 3. Amekuwa Msuruhishi wa migogolo barani africa akiwakilisha UN. NAWEKA HOJA...
  11. Saza

    Balozi Dr. Maige ndiye anafaa kuwa Rais wa Tanzani 2015

    Ndugu wana JF, Naomba kuwasilisha jina jipya la mgombea Urais 2015 Tanzania, Ni Mzoefu sana katika uongozi wa kimataifa na amekuwa Barozi Wa Tanzania UN kwa muda mrefu baada ya Dr, Salim. Tukiweka Siasa pembeni, Barozi Dr Mahige ndiye chaguo sahihi Wakati huu, nitaleta picha yake baadaye, kama...
  12. Saza

    Nani anafaa kuwa rais wa Tanzania 2015?

    Dr, Slaa Ndo Anafaa Kuliongoza Taifa Hili Kwa Sasa, ccm imechafuka sana kwa sasa haina huruma na watanzania. wanawaza deals tu
  13. Saza

    Marais wastaafu wakacha sherehe Dodoma

    Hongera Rais wetu kwa kutupati katiba mpya, Hakika ndoto yako imetimia. Mungu na akubariki saana, Hakika tutakukumbuka sana
  14. Saza

    Muda mfupi ujao Wajumbe wa BMK wa Kura ya hapana wanaitisha Press na kuondoka

    Hatimae Katiba mpya imepatikana, kupiga KURA ya hapana ni Demokrasia tu ktk nchi yetu ya Tanzania na hakuna atakedhulika eti tu kapiga KURA ya hapana.. Ni propaganda tu za kuwaimanisha Watanzania ionekane kuwa hakuna demokrasia nchini. Nawasihi Watanzania tuendelee kuwa na Umoja na mshikamano...
  15. Saza

    UKAWA waumbuka Dodoma, Akidi yapatikana bila ya wabunge walio nje ya Ukumbi

    1. Mwigulu nchemba -Kapiga KURA ya ndiyo 2. January Makamba - Kapiga KURA ya ndiyo 3. sheikh Jongo - Huyu sikumsikia
Back
Top Bottom