Swali la msingi kabisa?
Huwa nashangaa kwa nn mahakam zetu haziko wazi ili kesi ziwe live kama nchi zingine unaangalia taarifa ya habari hata sura ya judge huioni kama tuko miaka ya zama za mawe nini kinafichwa kama kweli wanatenda haki ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.