Recent content by Sauti ya Mamlaka

  1. Sauti ya Mamlaka

    Serikali yatoa Tsh. Bilioni 66 Kurekebisha Miundombinu iliyoharibiwa na mvua

    Hizo hela ni za wananchi au za rais mbona upambe umekuwa mwingi hela ni za wananchi sio za rais
  2. Sauti ya Mamlaka

    Nishaurini Ndugu zangu juu ya huyu mwanamke

    Piga chin sio dalili nzur
  3. Sauti ya Mamlaka

    Wabunge/wawakilishi wote wa baraza la mapinduzi Zanzibar wanakuwa wabunge wa Bunge la JMT?

    Huu muungano siulew kiukwel kama wao wana baraza la wawakilishi lakin pia wanakuja kwenye bunge letu la JMTsisi wa bara la kwetu ni lipi?
  4. Sauti ya Mamlaka

    Watu wenye pesa/mafanikio wako very humble

    😀😀😀whatever he/she is but mafundisho ya story ndo ya muhimu
  5. Sauti ya Mamlaka

    App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi

    Mkuu mbona hakuna mabadiliko yoyote kwa ios users
  6. Sauti ya Mamlaka

    Taja beats za nyimbo kali zaidi kuwahi kutengenezwa Tanzania

    Nako 2 nako - hawatuwez ina beat kal
  7. Sauti ya Mamlaka

    Picha: Maelfu ya wananchi wa Nzega walivyompokea Rais Samia

    [emoji1617][emoji1617][emoji1617][emoji1617][emoji1617]
  8. Sauti ya Mamlaka

    Mchimbaji mdogo akiwa na mgodi wake.....

    Hyo kitaalam inaitwa tight marking
Back
Top Bottom