Recent content by Sauti Ndogo

  1. S

    SoC02 Tabasamu na Mwalimu

    Ni andiko zuri
  2. S

    Ni uzalendo upi tunaouhitaji!

    Sikiliza maelezo ya uzalendo wa kweli.
  3. S

    Selfie iliyomponza akaachwa

    Inaonekana mtaingia saa 1:30
  4. S

    INAUZWA Nina hama nauza vitu vifuatavyo

    Hiyo TV Ni Samsung model gani?
  5. S

    RC Makonda ashtakiwa kwa kudhalilisha wanawake na kukosa maadili

    Inaonekana tatizo lililopo ni wateule wengi wa sasa kukosa maadili ya utumishi wa umma kwa sababu hawajapitia ngazi mbalimbali za utumishi wa umma. Wengi wametolewa kwenye harakati za siasa zilizojaa lugha chafu na dhihaka na wakapewa nafasi kubwa za utumishi wa umma bila kupewa mafunzo ya maadili.
  6. S

    Siku ya Mashoto Duniani: Wana JF wenzangu tunaotumia mkono wa kushoto tukutane hapa

    Mashoto wengi tumepitia 'treatment' mbaya wakati wa utoto tukilazimishwa kutumia mkono wa kulia. Let it be known that this is diversity of creation.
  7. S

    Tuache ujima! Tuache Rais Magufuli asemwe, kukosolewa hata kushauriwa. Tuache vitisho

    Unaonekana yanajengwa mazingira kwamba mikoa hii ikipendelewa watu wasilalamike
  8. S

    TANESCO tunataka majibu ya tuhuma kuhusu udini

    Nasikitika sana kuwa mambo ya udini na ukabila yanapaliliwa sana na watu walioenda shule. Kama hali hii haitadhibitiwa itakuwa janga la Taifa huko mbeleni. Tulieenda shule tuwe mstari wa mbele kupinga mbegu zozote za ubaguzi katika ajira. Watu wapewe kazi kutokana na sifa na uwezo na si kwa...
  9. S

    Maswi asipodhibitiwa ataiharibu TRA

    Hakuna justification ya kutosha ya kumrudisha Maswi TRA baada ya kashfa ya ESCROW. Hii ni mbinu ya Serikari kuaminisha umma kuwa ESCROW scandal haina madhara kwa Taifa. Maswi alilazimika kuwajibika kama mtendaji mkuu alipaswa kuzuia kashfa hii isitokee. Pia huwezi kusema hajahusika na ufisadi...
  10. S

    Kiwanja kinauzwa

    Chua M8
  11. S

    Wamiliki wa shule binafsi kutofungua shule zao

    Miaka ya nyuma shule za serikali zilikuwa na viwango vizuri vya utoaji elimu na wazazi hawakuhangaika kupeleka watoto wao shule za private isipokuwa wale walioshindwa kuchaguliwa kwenye shule za private. Hali ilianza kubadilika zilipoanza shule za mission. Mwanzo wazazi walipendelea kupeleka...
  12. S

    Rushwa hupofusha macho

    Nawe usipokee rushwa. Kwani hiyo rushwa hupofusha macho yao waonao na kuyapotoa maneno ya mwenye haki (Kutoka 23:8). Wakati huu wa kuelekea uchaguzi mkuu tumeendelea kushuhudia mambo yenye kuleta mashaka. Kubwa ni kubadilika kwa Dr. Slaa kuegemea upande wa CCM na kwanza kubomoa yale aliokuwa...
  13. S

    Lowassa acha kuhadaa Watanzania, sema ukweli wako juu ya kuchukia umasikini

    Lowasa anafanya utapeli tu. Kwake Ikulu ni nafasi ya kupiga dili tu. Huwezi kupata shida kutabili hali inavyoweza kuwa kwa kutazama team yake; Rostam, Chenge na wengine. Yeye na JK ndio waliokuja na 'slogan' ya nguvu mpya, kasi mpya na ya maisha bora kwa Lila Mtanzania lakini kila mtu aliona...
  14. S

    Limbu: Zitto ajiunga ACT Tanzania Kinyemela

    J esaSeA!$####4#$##££££££££££
Back
Top Bottom