Na Gordon Kalulunga
Watu wa Nyikani wanatuonya kuwa hatupaswi kuficha Sabuni kwenye Maji maana itayeyuka.
Na anayeshangaa kutokuta Sabuni ndani ya Maji bali kuona povu wakati yeye aliificha hiyo Sabuni kwenye Maji nasi tunamshangaa.
Katika suala la mmomonyoko wa maadili serikali ilificha...
Na Gordon Kalulunga
Watu wa Nyikani wanatuonya kuwa hatupaswi kuficha Sabuni kwenye Maji maana itayeyuka.
Na anayeshangaa kutokuta Sabuni ndani ya Maji bali kuona povu wakati yeye aliificha hiyo Sabuni kwenye Maji nasi tunamshangaa.
Katika suala la mmomonyoko wa maadili serikali ilificha...
Na sasa Serikali itafurahia watoto wakifa kwa kukosa Matibabu hasa wale ambao Wazazi wao walikuwa Wana uwezo wa kuwalipia Bima ambazo kwa sasa imekuwa kama anasa.
NASHINDWA kuyazuia machozi yangu yanapobubujika na kudondoa kwenye kope za macho yangu hasa ninapokumbuka kifo cha Mwandishi Daud Mwangosi na watanzania wengine waliokufa na kujeruhiwa kwenye mikutano ya kisiasa hapa nchini kwetu Tanzania.
Nianze kwa kutoa pole kwa wananchi wote wakiwemo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.