Nataka mtu atueleweshe kwanini bundle zimepanda bei na nini kilichosababisha hali hii, vile vile na solutions za tatizo hilo kama lipo.
Hii inaumiza sana wanachuo, unakuta mtu yuko radhi aweke bundle kuliko kula.
Mie naona sio haki kabisa.
Ukiambiwa uchague moja kati ya hizi kwa matumizi ya nyumbani, utachagua ipi na kwa nini?
1. High Spidi Internet bila kikomo (Fiber) Mwezi mzima.
2. FULL DSTV + AZAM TV + Startimes Mwezi mzima
Retweer from @iamkaga
Boss hapa mjini kampuni tatu tuh ndo zina true unlimited bundles ambazo speed hazishuki
1.Zuku fiber
2.CTV
3.TTCL
Usikubali kununua internet za dish, hizo zinakua na downtime mara nyingi
Cha msingi tafuta simu yenye storage kubwa, ram kubwa na muhimu zaidi yenye battery kubwa basi simu za sikuizi za budget hua ni nzuri sana hata usihofu
Chipset tufananishe na engine za gari kwahio yani kama gari ina engine nzuri basi inakimbia au sio?... ni sawa na simu na chipset ikiwa na chipset nzuri basi hua hazigandi gandi ukiwa unatumia na hua ukifungua app zinafunguka hapo hapo lakini ikiwa chipset yake sio nzuri inakua simu inapata joto...
Hapana mtandaoni sio kama ilee magari yote bei ghali, ni kwamba kila gari linafanyiwa inspection na kupewa bei kulingana na inspection hio
Unaweza ukakuta gari nzuri kwa njee kila kitu safi kwa bei ndogo kulingana na zengine lakini ikifika unaanza kupata matatizo mbali mbali,
Nashauri...
Hodii mpaka ndani. JamiiForums ilikua inanisaidiaga sana nikitaka kujua vitu vya mjini mijini nadhani mnaelewa. Yani hii website ni kama google flani ivi lakini ya Kiswahili🦦
Mimi ni mwanafunzi wa UDSM mwaka wa kwanza ndo naelekea wa pili, nasomea Bachelors Degree in Computer Engineering and IT...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.