Nilidhani pekeyangu ndiyo sijamwelewa.
Hata hivyo mleta mada ormystatus hiyo Nyengedi uliyoitaja ipo Mkoa wa Lindi na si Mtwara. Tena ni Kijiji kilichopo Jimbo la Nape-Mtama.
Siku hizi akifa kiongozi yeyote wa sisiem nchi inakuwa haina msisimko wala mshituko.
Alafu hiyo kauli si aliasisi Mwenyekiti wao hao sisiem? Wewe unalalamika nini watz wakisema "kifo ni kifo tu hakuna haja ya kuzua taharuki!?"
Mradi Wa maghorofa kijichi vikunai hadi Leo hakuna kinachoendelea na imepita zaidi ya miaka 6 tangu usimame Huku nyumbani zingine zikiwa asilimia chache ziishe kabisa.
Kwa Hawa mashetani usidhani kuwa hili limeisha,laah!
Huyu wanae. Siku Moja watambananisha kwenye Kona ya mlango wamfinye kimya kimya.
Shetani ni shetani tu.
Na hii ndiyo shida yenu pia.
Kwamba Kila anayeenda kinyume na mawazo yenu basi amekuwa siyo mkristo.
Unapoongelea ukristo basi Mimi ni mkristo hasa,Tena ni kutoka Roman Catholic church kutoka shirika la Benedictine fathers.
Tena nimetoka familia ya wasemimary kwelikweli.Mzee wangu ni...
U.S. ndiyo waharibifu wakubwa wa hii sayari.
Nyie ni wakristo Gani mnaowashangilia hao wahuni? Tena unakuta mkristo anaweka hadi benndera ya Israel kwenye gari na nyumba za ibada. Alafu unakuta ni msomi,ila likija swala la Israel na America anakuwa mjinga sana. Reasoning inayeyuka.
Huu uhuni...
Hawa wa hivi sasa hivi wako wengi barababrani.
Yupo mmoja mitaa ya Bandari road ana pikipiki ya pink ,sasa hivi kaidesign matairi mawili nyuma ili iwe stable naye anauza juice kama huyu.
Nikimwangalia huyu wa kwenye video na yule mwingine,naweza kusema yule ni mrembo zaidi ya huyu.
Waisrael Wana ushenzi sana.
Hapo keshatumwa na bwana wake US. "nenda kamchokoze,mpige ngumi ya pua atoke damu puani,akireact nipate sababu ya kumpasua kwa kigezo cha kuja kukusaidia"
Hawa watu watai-destabilize hii Dunia hadi lini? Hiyo power waliyo nayo haijawatosha tu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.