Wale jamaa wametupiga bao kwenye swala Zima la kujiamini.
Unakuta mbongo anaweza kufanya kitu sahihi kabisa,akija mkenya na kuanza ku-question kile anachofanya mbongo,badala ya kumpa majibu yanayoeleeweka na kwanini anafanya hivyo anajikuta anaona "asee kweli hapa nimekosea" ukimuuliza umekosea...
Mkuu,
Katika picha ya juu,watanzania tunaonekana kama tuna tatizo kubwa la kiingereza na tunashindwa kupresent kwenye international platforms kwa sababu ya language barrier.
Ila deep down tatizo letu kubwa siyo kiingereza...Ni confidence.
Mbongo Hana confidence kwenye majukwaa ya kimataifa...
Kwa mfano nchi ya Cameroon upande mmoja ni wanaongea kiingereza na upande wa pili wanaongea kifarsnsa...Yani nchi Moja Ina lugha mbili za kimataifa.
Wale jamaa wametuzidi nini katika context yako ya "exposure" au hata maendeleo?
Burundi na congo wanaongea lugha ya kimataifa ya...
Tlaatlaah ukimsoma siku hizi unaona patterns.
Amelaza mshale kwa Kasi. Kuna kitu ameona. Amekuwa mtu wa vicoment vifupi "ok" "sawa"
Alipofikia sasa hivi hata umtie kidole jichoni atakuomba samahani yeye. Amechoka sana. Ni kama anajiona mjinga kwa kutetea kwa nguvu maujinga ya sisiem alafu...
Hamna habar mibaya kwa Lissu hapa, mkuu.
Hao jamaa hawawezi kulala kwa amani kuanzia sasa baada ya kusikia hii taarifa.
Lissu anafurahisha akiwa anamuhoji adui yako tu...ikifika zamu yako kuingia kwenye 18 zake unakuwa kama unaingia kwenye chumba cha kukata govi alafu bila ganzi... Huwezi...
Siyo kweli.
Waislamu wenye akili wengi tu wapo na wanaunga harakati za mapambano,ingawa wajinga wajinga wanaotazama ukosoaji kwa uongozi huu ni kwa sababu ya dini yake yule bi mkubwa na siyo uwezo wake kama kiongozi...Hao hawakosekani.
Ila kusema waislamu wanapitia kipindi cha raha au kwamba...
Yani mtu mkubwa kama VP anapotea hakuna taarifa yoyote ya maana wananchi wanaambiwa na bado raia wapo kimya.
Yani kama nchi ya manyumbu...Analiwa mmoja kati ya mamilioni na wao katika uwingi wao hawana cha kumfanya Simba mmoja,wanaishia kumwangalia tu mwenzao akiliwa mbele yao.
Nchi ya...
Hivi Hawa jamaa wanakuwa wagumu kama ngozi ya kichwa kwa nini?
Katika hali nchi inapitia Kuna matukio hayakupasawa kutokea,hasa hili la polisi kuteka watu bila sababu za msingi.
Huu uhuni waataacha lini?
Hawanaga akili au wanapenda kujizima Data.
Serikali inapenda kudeal na walaji wa mwisho au kama ni chain basi inadeal na kule inakoishia(mkiani) badala ya kudeal na tatizo halisi.
Angalia mkuu wa Mkoa anaibuka ghafla anapiga mkwara madereva malori "ukikutwa umepaki Lori barababrani unakamatwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.