Recent content by Satoh Hirosh

  1. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Hii nguo Kila nikiivaa nakutana na watu si chini ya watano Kwa siku wameivaa pia

    Uvuvi wa nyavu ndogo hauruhusiwi mkuu...Ni Haram.
  2. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Rufaa yatupilia Mbali Maombi ya DPP ya Kuongeza Ushahidi Katika Kesi ya Tundu Lissu

    Katika hili hamshindi. Shetani hawezi kuwa mshikdi siku zote. Hili litawapalia nyie mashetani.
  3. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Rufaa yatupilia Mbali Maombi ya DPP ya Kuongeza Ushahidi Katika Kesi ya Tundu Lissu

    Umazisihi mahakama wewe kama nani? Hivi nyie watu lini mtaachana na ushetani wenu? Maisha madupi sana haya kuwatendea watu wanyonge mabaya. Mlitaka kumuua,ana majibu Kila mahala na Bado anaishi na risasi...Hiyo pekeyake haitoshi hadi mnataka kumfanya aozee jela bila kosa lolote? Alafu kesho...
  4. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Ukilewa usichat na usitoe hotuba, kongole wasaidizi kwa hili

    Tusubiri tuone...
  5. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Marekani Yaitetemesha Dunia Nzima. Yataka Mahakama Ya ICC Ifutwe Haraka Sana . Watu Walipuka Kwa Shangwe na Nderemo kuiunga Mkono Marekani.

    Masisiem naona mtafanya hadi tafrija kwenye corridors zenu. Hukumu ya October 29 ipo palepale. Hii haitawaacha kamwe.
  6. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania KERO Ugumu wa kazi unavyosababishwa na upungufu wa magari ya wagonjwa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

    Mkuu, Gari moja unaloliongelea ni la hospitali Gani? Nyangao au Mtama? Maana nijuavyo Nyangao Kuna hospitali kubwa na Ina gari na ipo karibu kabisa na Mtama.
  7. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Faida ya kula Bamia

    Bamia husaidia wanawake kulainisha uje mkavu endapo atakuwa anatumia kama supu kwa muda wa kutosha. Hazina madhara hata zikitumiwa Kila siku maana ni chakula. Miaka ya sasa wanawake wengi wanakosa Ute Ute wakati wa kujamiiana. Mwanamke akitumia bamia matokeo Huwa mazuri sana. Ila vijana wa...
  8. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Jumuiya ya Madola yaipa Tanzania siku 30 Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria

    Sisiem Waiteni na Hawa wazungu wanachochea ugaidi. ....Chawa kina Luka na tlatla...Is Pressure increase or decrease?
  9. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania MwanaFA azomewa na wananchi baada ya kuanza kusifia Awamu ya 6 kwenye Tamasha la miaka 30 ya Bongo Fleva

    Alafu kesho wanakuja na kauli zao za kishamba "wahuni wachache waliotumwa walitaka kuharibu sshow lakini mama anapendwa na watu wote walifurahi" Hawa jamaa hivi hawakai vikao chemba wakawa wanatathmini kuwa wananchi wamechoshwa na hii wanayoita awamu ya 6? Yani kiongozi amekataliwa kuliko...
  10. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Kati ya chama kilichowaua watu ,kufanya utekaji na anayedai haki nani ni Gaidi ?

    Ona ulivyojaa ushetani. Kwako wewe unaona watu mia 5 ni kidogo eti? Kwa wenzetu waliostarabika hata kifo cha mtu mmoja wahusika wanapaswa kuwajibishwa/kuwajibika. Ila kwa sababu nyie mna roho za manyani na matendo yenu ni ya kinyani nyani tu hamuoni thamani ya uhai hata wa mtu mmoja. Roho...
  11. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Kati ya chama kilichowaua watu ,kufanya utekaji na anayedai haki nani ni Gaidi ?

    ......Alikuwa anaongea bila kuwaangalia watu usoni. Kuna maneno ukiongea dhamiri/ile sauti ya ndani inakusuta sana maana inajua unasema uwongo na mbaya zaidi dhamiri inajua kuwa wewe unayewanyooshea vidole na kuwapa tuhuma wengine ndiye mbaya.
  12. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Mara yako ya kwanza kushika zaidi ya TSh bilioni 1 ilikuwaje?

    Mwanetu Bilioni Moja umeitaja kama matako yaani kwamba ni rahisi tu kumiliki.
  13. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Katazo la kuandamana haliwahusu Simba ba Yanga ila CHADEMA pekee?

    Mfano sasa hivi Uzi huu unapoenda hewani...Maelefu ya Mashabiki wa Simba na Club kwa ujumla wapo katika maandamano makubwa kutokea airport kuelekea CBD. Hali hii ya maandamano imepelekea hali ya usafiri kuwa ya changamoto sana hasa kwa watu wanaolekea airport/gmboto maana wanakutana na...
  14. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania JWTZ mmesikia na sauti iko sawa kabisa, kazi kwenu

    Sisiem? Au umesahau kuswitch acc?
Back
Top Bottom