Umazisihi mahakama wewe kama nani?
Hivi nyie watu lini mtaachana na ushetani wenu? Maisha madupi sana haya kuwatendea watu wanyonge mabaya.
Mlitaka kumuua,ana majibu Kila mahala na Bado anaishi na risasi...Hiyo pekeyake haitoshi hadi mnataka kumfanya aozee jela bila kosa lolote?
Alafu kesho...
Mkuu,
Gari moja unaloliongelea ni la hospitali Gani? Nyangao au Mtama?
Maana nijuavyo Nyangao Kuna hospitali kubwa na Ina gari na ipo karibu kabisa na Mtama.
Bamia husaidia wanawake kulainisha uje mkavu endapo atakuwa anatumia kama supu kwa muda wa kutosha.
Hazina madhara hata zikitumiwa Kila siku maana ni chakula.
Miaka ya sasa wanawake wengi wanakosa Ute Ute wakati wa kujamiiana. Mwanamke akitumia bamia matokeo Huwa mazuri sana.
Ila vijana wa...
Alafu kesho wanakuja na kauli zao za kishamba "wahuni wachache waliotumwa walitaka kuharibu sshow lakini mama anapendwa na watu wote walifurahi"
Hawa jamaa hivi hawakai vikao chemba wakawa wanatathmini kuwa wananchi wamechoshwa na hii wanayoita awamu ya 6?
Yani kiongozi amekataliwa kuliko...
Ona ulivyojaa ushetani.
Kwako wewe unaona watu mia 5 ni kidogo eti?
Kwa wenzetu waliostarabika hata kifo cha mtu mmoja wahusika wanapaswa kuwajibishwa/kuwajibika.
Ila kwa sababu nyie mna roho za manyani na matendo yenu ni ya kinyani nyani tu hamuoni thamani ya uhai hata wa mtu mmoja.
Roho...
......Alikuwa anaongea bila kuwaangalia watu usoni.
Kuna maneno ukiongea dhamiri/ile sauti ya ndani inakusuta sana maana inajua unasema uwongo na mbaya zaidi dhamiri inajua kuwa wewe unayewanyooshea vidole na kuwapa tuhuma wengine ndiye mbaya.
Mfano sasa hivi Uzi huu unapoenda hewani...Maelefu ya Mashabiki wa Simba na Club kwa ujumla wapo katika maandamano makubwa kutokea airport kuelekea CBD.
Hali hii ya maandamano imepelekea hali ya usafiri kuwa ya changamoto sana hasa kwa watu wanaolekea airport/gmboto maana wanakutana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.