Recent content by Satoh Hirosh

  1. Satoh Hirosh

    Laiti ningelijua mapema, nisingelinunua lile shamba

    Alafu anatufokea kisa hatujaelewa. Anadhani kama sisi ni ng'ombe zake hapo shambani. Wafugaji sijui hasira zinatokaga wapi Hawa watu!!
  2. Satoh Hirosh

    Laiti ningelijua mapema, nisingelinunua lile shamba

    Atajijua mwenyewe. Anaandika kama mtoto,watu wakitaka ufafanuzi hawajaelewa yeye anatufokea. Atajua mwenyewe na shamba lake!
  3. Satoh Hirosh

    Laiti ningelijua mapema, nisingelinunua lile shamba

    Nilidhani pekeyangu ndiyo sijamwelewa. Hata hivyo mleta mada ormystatus hiyo Nyengedi uliyoitaja ipo Mkoa wa Lindi na si Mtwara. Tena ni Kijiji kilichopo Jimbo la Nape-Mtama.
  4. Satoh Hirosh

    Mafanikio niliyoyapataa mtandaoni na kweye mitandao mbalimbali ya kijamii

    Hance Mtanashati Hii chai au siyo chai?
  5. Satoh Hirosh

    Kifo ni kifo tu isiwe kauli ya kuwahukumu wanaCCM wote.

    Jenista si ndiyo yule alikuwa anabiringika chini kama tairi la scania kule kwao Songea akimsifia Bi Msumi? Au unamwongelea jenista gani?
  6. Satoh Hirosh

    Kifo ni kifo tu isiwe kauli ya kuwahukumu wanaCCM wote.

    Siku hizi akifa kiongozi yeyote wa sisiem nchi inakuwa haina msisimko wala mshituko. Alafu hiyo kauli si aliasisi Mwenyekiti wao hao sisiem? Wewe unalalamika nini watz wakisema "kifo ni kifo tu hakuna haja ya kuzua taharuki!?"
  7. Satoh Hirosh

    DOKEZO Fao la Kujitoa limerudishwa kisheria, kwanini NSSF hamtangazi? Kwanini mtu akitaka hela zake zote (Lump Sum) anazungushwa?

    Mradi Wa maghorofa kijichi vikunai hadi Leo hakuna kinachoendelea na imepita zaidi ya miaka 6 tangu usimame Huku nyumbani zingine zikiwa asilimia chache ziishe kabisa.
  8. Satoh Hirosh

    DOKEZO Fao la Kujitoa limerudishwa kisheria, kwanini NSSF hamtangazi? Kwanini mtu akitaka hela zake zote (Lump Sum) anazungushwa?

    Kuna lile daraja la kigamboni,hivi NSSF hawajarudisha tu faida tangu 2016? Yani ukienda kigamboni unakuwa kama umeenda nchi nyingine
  9. Satoh Hirosh

    Mayalla: Walinilazimisha kukiri kosa

    Kwa Hawa mashetani usidhani kuwa hili limeisha,laah! Huyu wanae. Siku Moja watambananisha kwenye Kona ya mlango wamfinye kimya kimya. Shetani ni shetani tu.
  10. Satoh Hirosh

    Nashukuru sana Wakristo na Wayahudi kuwa watu wanaoingoza Dunia

    Na hii ndiyo shida yenu pia. Kwamba Kila anayeenda kinyume na mawazo yenu basi amekuwa siyo mkristo. Unapoongelea ukristo basi Mimi ni mkristo hasa,Tena ni kutoka Roman Catholic church kutoka shirika la Benedictine fathers. Tena nimetoka familia ya wasemimary kwelikweli.Mzee wangu ni...
  11. Satoh Hirosh

    Nashukuru sana Wakristo na Wayahudi kuwa watu wanaoingoza Dunia

    U.S. ndiyo waharibifu wakubwa wa hii sayari. Nyie ni wakristo Gani mnaowashangilia hao wahuni? Tena unakuta mkristo anaweka hadi benndera ya Israel kwenye gari na nyumba za ibada. Alafu unakuta ni msomi,ila likija swala la Israel na America anakuwa mjinga sana. Reasoning inayeyuka. Huu uhuni...
  12. Satoh Hirosh

    Huyu alitakiwa kuwa katika Hoteli kubwa au katika NGO's kufanya 'Ukulima' wake, ila huku mlikompeleka mmekosea sana ndiyo maana Kashtukiwa upesi

    Hawa wa hivi sasa hivi wako wengi barababrani. Yupo mmoja mitaa ya Bandari road ana pikipiki ya pink ,sasa hivi kaidesign matairi mawili nyuma ili iwe stable naye anauza juice kama huyu. Nikimwangalia huyu wa kwenye video na yule mwingine,naweza kusema yule ni mrembo zaidi ya huyu.
  13. Satoh Hirosh

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Waisrael Wana ushenzi sana. Hapo keshatumwa na bwana wake US. "nenda kamchokoze,mpige ngumi ya pua atoke damu puani,akireact nipate sababu ya kumpasua kwa kigezo cha kuja kukusaidia" Hawa watu watai-destabilize hii Dunia hadi lini? Hiyo power waliyo nayo haijawatosha tu?
Back
Top Bottom