Recent content by Satoh Hirosh

  1. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Sio kwa ubaya CCM tuache kuuzia wananchi matumaini huyu mtu hatoshi hata sisi tuliokua tunamtetea tunaonekana hamnazo

    Leo kajitahidi kuongea yaliyoandikwa peke yake bila kuweka maneno yake (freestyle) ili asitoe Boko wakati wa speech ila wapi!! Imeshindikana... Boko limetokea kama kawaida. Hakika hii nchi yeyote anaweza kuwa kiranja mkuu.
  2. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Wazalendo tunasimama upande gani katika mnyukano kati ya CCM na Marekani?

    Kama U.S. anatetea 'haki' kwa ajili yake basi sisi raia wa Tz by default tupo upande wake maana unatupa unafuu kwetu. Hii nchi imeharibiwa na sisiem sana. Na isivyo bahati polisi nao wamejiingiza Moja kwa Moja upande wa sisiem kwa kuwasaidia kufanya uhalifu na uharamia dhidi ya...
  3. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Pori la Mbweni ndo jehanamu mpya?

    Kuna huyu jamaa 'Mafwele' amepata headlines sana zaidi ya mwaka ila hadi Leo anadunda. Haya mambo hayaendi na Imani Wala matamko ya kulaani pekee ila kuchukua hatua.
  4. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Eti Nchimbi amemwambia Rais Samia "Kama Mnataka Kunitimua, nitimueni leoleo

    Mimi nakukatalia kwa huu mtazamo wako wa sisiem kutengeneza kiki juu ya huyu Bwana. Kuna muda mfumo Huwa una-colapse. Hili bifu la huyu Mzee na 'wale' ni real kabisa. Siyo bifu fake kama unavyolitazama. Subiri tu muda watasagana. Ial kwa sisi observers tusio na nguvu Lina unafuu kwetu sisiem...
  5. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Sugu na Nshala wadhibitiwe kwa kuhamasisha matusi

    Umeandika mashudu...
  6. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Huu wimbo kuhusu Mzee Chande uwe fundisho kwa wastaafu wote waliowahi kushika madaraka makubwa

    Ila ngoma Kali sana la kuvibe nalo ukiwa low. Kuna kile kipande anaimba "chanda chende chindi chundu" alafu akamalizia na kiungo cha mwili...Aloooh AI noma sana!! Niliusikiliza kwenye watu niligeuza simu japo masikioni niliweka ear pods nasikia mwenyewe. Ile mineno siyo poa. Kumbe matusi...
  7. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Serikali yafafanua kauli ya Rais Samia kuhusu Bei za Mafuta

    Naona hili swala wameamua kulipeleka kikomedy komedy Asee. Girishoni anatuonaje kwa mfano? Mafuta kwa kipimo cha Tani?
  8. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Kumbe sasa hivi JamiiForums na X(twiter) unaperuzi bila VPN!

    VPN imeniharibia betri yangu. Simu inawahi sana kuisha chaji na sasa hivi naona betri life imeshuka sana. Mwaka huu sasa unakatika ni mwendo wa VPN tu ili mambo yasonge .Alafu Kuna app za kifedha ukitaka kufanya miamala lazima uzime VPN. Basi inakuwa Zima washa,Zima washa. Ni tafran sana hii...
  9. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Laiti ningelijua mapema, nisingelinunua lile shamba

    Alafu anatufokea kisa hatujaelewa. Anadhani kama sisi ni ng'ombe zake hapo shambani. Wafugaji sijui hasira zinatokaga wapi Hawa watu!!
  10. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Laiti ningelijua mapema, nisingelinunua lile shamba

    Atajijua mwenyewe. Anaandika kama mtoto,watu wakitaka ufafanuzi hawajaelewa yeye anatufokea. Atajua mwenyewe na shamba lake!
  11. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Laiti ningelijua mapema, nisingelinunua lile shamba

    Nilidhani pekeyangu ndiyo sijamwelewa. Hata hivyo mleta mada ormystatus hiyo Nyengedi uliyoitaja ipo Mkoa wa Lindi na si Mtwara. Tena ni Kijiji kilichopo Jimbo la Nape-Mtama.
  12. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Mafanikio niliyoyapataa mtandaoni na kweye mitandao mbalimbali ya kijamii

    Hance Mtanashati Hii chai au siyo chai?
  13. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Kifo ni kifo tu isiwe kauli ya kuwahukumu wanaCCM wote.

    Jenista si ndiyo yule alikuwa anabiringika chini kama tairi la scania kule kwao Songea akimsifia Bi Msumi? Au unamwongelea jenista gani?
  14. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania Kifo ni kifo tu isiwe kauli ya kuwahukumu wanaCCM wote.

    Siku hizi akifa kiongozi yeyote wa sisiem nchi inakuwa haina msisimko wala mshituko. Alafu hiyo kauli si aliasisi Mwenyekiti wao hao sisiem? Wewe unalalamika nini watz wakisema "kifo ni kifo tu hakuna haja ya kuzua taharuki!?"
  15. Satoh Hirosh

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Fao la Kujitoa limerudishwa kisheria, kwanini NSSF hamtangazi? Kwanini mtu akitaka hela zake zote (Lump Sum) anazungushwa?

    Mradi Wa maghorofa kijichi vikunai hadi Leo hakuna kinachoendelea na imepita zaidi ya miaka 6 tangu usimame Huku nyumbani zingine zikiwa asilimia chache ziishe kabisa.
Back
Top Bottom