Leo kajitahidi kuongea yaliyoandikwa peke yake bila kuweka maneno yake (freestyle) ili asitoe Boko wakati wa speech ila wapi!! Imeshindikana... Boko limetokea kama kawaida.
Hakika hii nchi yeyote anaweza kuwa kiranja mkuu.
Kama U.S. anatetea 'haki' kwa ajili yake basi sisi raia wa Tz by default tupo upande wake maana unatupa unafuu kwetu.
Hii nchi imeharibiwa na sisiem sana.
Na isivyo bahati polisi nao wamejiingiza Moja kwa Moja upande wa sisiem kwa kuwasaidia kufanya uhalifu na uharamia dhidi ya...
Kuna huyu jamaa 'Mafwele' amepata headlines sana zaidi ya mwaka ila hadi Leo anadunda.
Haya mambo hayaendi na Imani Wala matamko ya kulaani pekee ila kuchukua hatua.
Mimi nakukatalia kwa huu mtazamo wako wa sisiem kutengeneza kiki juu ya huyu Bwana.
Kuna muda mfumo Huwa una-colapse.
Hili bifu la huyu Mzee na 'wale' ni real kabisa. Siyo bifu fake kama unavyolitazama.
Subiri tu muda watasagana. Ial kwa sisi observers tusio na nguvu Lina unafuu kwetu sisiem...
Ila ngoma Kali sana la kuvibe nalo ukiwa low.
Kuna kile kipande anaimba "chanda chende chindi chundu" alafu akamalizia na kiungo cha mwili...Aloooh AI noma sana!!
Niliusikiliza kwenye watu niligeuza simu japo masikioni niliweka ear pods nasikia mwenyewe. Ile mineno siyo poa.
Kumbe matusi...
VPN imeniharibia betri yangu.
Simu inawahi sana kuisha chaji na sasa hivi naona betri life imeshuka sana.
Mwaka huu sasa unakatika ni mwendo wa VPN tu ili mambo yasonge .Alafu Kuna app za kifedha ukitaka kufanya miamala lazima uzime VPN. Basi inakuwa Zima washa,Zima washa.
Ni tafran sana hii...
Nilidhani pekeyangu ndiyo sijamwelewa.
Hata hivyo mleta mada ormystatus hiyo Nyengedi uliyoitaja ipo Mkoa wa Lindi na si Mtwara. Tena ni Kijiji kilichopo Jimbo la Nape-Mtama.
Siku hizi akifa kiongozi yeyote wa sisiem nchi inakuwa haina msisimko wala mshituko.
Alafu hiyo kauli si aliasisi Mwenyekiti wao hao sisiem? Wewe unalalamika nini watz wakisema "kifo ni kifo tu hakuna haja ya kuzua taharuki!?"
Mradi Wa maghorofa kijichi vikunai hadi Leo hakuna kinachoendelea na imepita zaidi ya miaka 6 tangu usimame Huku nyumbani zingine zikiwa asilimia chache ziishe kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.