Recent content by satellite

  1. satellite

    JamiiForums Tanzania Siri: Kiini cha mgogoro unaofukuta ndani ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde

    Ni uongo deni sio sababu ya mgogoro uliopo. Mgogoro umesababishwa na kuhamishwa makao makuu toka Tukuyu na kupelekwa Mbeya mjini na fukuza fukuza ya wachungaji wanaokataa matakwa ya Mwaikali,ilipofika sass hivi hakuna Usharika unapokea mchungaji mpya tena,Sharika haziwapi hifadhi tena
  2. satellite

    JamiiForums Tanzania Siri: Kiini cha mgogoro unaofukuta ndani ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde

    Umesoma vizuri content yangu?mi nilichoelezea kiini cha mgogoro ni kuhusu kuamishwa kwa ofisi za dayosisi na sio hicho walichoandika hapo kua ni ishu ya pesa
  3. satellite

    JamiiForums Tanzania Siri: Kiini cha mgogoro unaofukuta ndani ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde

    Hii inapotosha ukweli kabisa,kiini cha mgogoro uliopo ni kuhamisha makao makuu ya dayosisi kutoka Tukuyu na kwenda Mbeya Mjini katika usharika wa Ruanda,ofisi za Askofu ziko ofisi ya Rwanda ingawa Usharika anaosali Uko Betheli na kuna kiti chake cha Askofu ila KITI CHA UASKOFU KIPO USHARIKA WA...
  4. satellite

    JamiiForums Tanzania Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    CSC ni zile namba 3 Kwenye signature nyuma pale Sent from my iPhone using JamiiForums
  5. satellite

    JamiiForums Tanzania NNAHITAJI SIDE MIRROR YA KULIA SUBARU IMPREZA WAGON YEAR 2009

    Wacheki jamaa wa 0-60 garage wanadeal na Subaru tu, ‭ ‭0763 432 008‬ jamaa anaitwa God atakusaidia
  6. satellite

    JamiiForums Tanzania Ninunue gari lipi kati ya Rav 4 vs Vanguard?

    Vanguard ni RAV 4 hiyo iko poa ila nahisi ina CC kubwa zaidi ya RAV4
  7. satellite

    JamiiForums Tanzania King’amuzi cha Azam chaondoa Chaneli za FTA na kubakiza TBC na ZBC tu

    Ukiwa na international licence hakuna channel ya bure zaidi ya tv ya taifa zingine zinafanya biashara
  8. satellite

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi ufuatao: Jana usiku wa manane amekuja Jini, anasema ataishi na mimi.

    Mzee Baba ulivimbiwa viazi na Pepsi nn sasa ukaanza kuota huku umekaa?
  9. satellite

    JamiiForums Tanzania Clouds tv na chanel 10 hazipo kwenye king'amuzi cha dstv

    Dstv washasema MOTO HAUZIMI
  10. satellite

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa mwenye uelewa wa Suzuki Escudo toleo la tatu.

    Nunua Subaru Forester tu kama unataka flexibility na comfortability barabarani
  11. satellite

    JamiiForums Tanzania Ushauri kati ya Subaru 1.5L Na BMW 1 series

    Symmetrical All Wheel drive (AWD) za Subbie Fozzy ni sayari nyingine aiseee, weka mbali na watoto mi mtu kukaa mbele yangu km hatembei naonaga kichefuchefu sasa Subbie ndo utazipenda, Subaru Forester ni gari za rough road haswaaa kuliko BMW zinapenda lami sana
Back
Top Bottom