Hivi mtu anapata wapi uthubutu wa kusema mbele ya watu kuwa kambaka mtu?! Not once. Twice!
Lakini kiasi athubutu, maana kwa wachangiaji karibu ya wote hiyo ni non-issue kabisaaaa!
Duh! Kuwa uyaone!
Tuchukulie wewe ni Wema Sepetu. Unaitwa kuulizwa dawa za kulevya unazipata wapi.
Ukijibu "mimi situmii dawa za kulevya wala sijui zinapopatikana"
Makonda atakufanya nini? Kwa mujibu wa kifungu gani cha sheria.
Huwezi kutaja "shahidi", "mahakama" na "hukumu" bila ya kukubali uwepo wa mawakili wa kutetea na wa kupinga.
Ukizungumzia ushahidi mahakamani kimsingi unazungumzia mchakato wake wote ambao unahusisha mawakili wa kuteteae na wa kupinga.
Yukio engine la wafanyakazi wa umma Tanzania kutokujitambua!
Askari mzima na uniform yako, unapinda mgongo kutoa matairi ya pikipiki ya mtu!
Hadhi yako ipo wapi hapo?!
Ikiwa tunatakiwa kuelezea ukweli itatupasa tusema hivi "Rais ameteua wabunge nane, sita kati yao ni wanaume"
Haijalishi kama mmoja kajiuzulu au la. Waliteuliwa na wakatumikia position ya Ubunge.
Au mnataka kusema sasa anaweza kuteua hadi wakafika 11?
Na akiamua kumshinikiza mwengine...
Kwani hata akijiizulu ndio itakuwa Rais hajateua wabunge 6 wanaume?
Kwa kuwa tukiacha mtu ajiuzulu "nafasi inakuwa wazi", maana yake ni kwamba Rais anaweza kuteua wabunge kumi, akawashinikiza wote wajiuzulu (akiwa amewachoka), akaanza tena hesabu mpya ya kumi!
Katiba inasema ana uwezo wa...
Haya maelezo yamewahusu wanawake wote wanaoshabikia CCM. Kwamba Rais ameshindwa kupata mwanamke mwenye sifa kati yenu chote kiasi cha kuwa amelazimika kusigina katiba ... Hakuwa na jinsi!
:D
Hujui maana ya "angalau"?! Tafadhali sana usitudhihaki.
Ni uvunjifu wa wazi wa Katiba. Katiba inamtaka Rais asichague zaidi ya wanaume watano. Wazi kabisa
Nami pia nisingejiuzulu .... Ningemuacha mheshimiwa akajivua nguo kama hivi alivyojivua.
Maana sasa ndio ameita dunia nzima imuone namna asivyoelewa kazi ya tafiti! Au ndio shida Kiingereza, ameshindwa kung'amua kilichomaanishwa?
Alipige marufuku na journal lilochapisha utafiti ule pia.
Serikali ya utalii hii
-Raia wafe kwa uhaba wa dawa ila ndege za kubebea watalii zinunuliwe kwa cash
- Raia waachwe na virusi vya Zika, ili Mtalii asije kugoma kuja
- binaadamu Vifo vyao havina athari, cha faru ndio muhimu, maana wapo katika hatari ya kutoweka na kuathiri staarehe ya Mzungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.