Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,237
- 9,869
Ndio maana mikishaacha kununua haya magazeti, hawa ndio waandishi na wahariri tunaowategemea watupe habari!Nimejaribu kusoma hii habari zaidi ya mara 5 sijaona sehemu ambayo wingu limetanda labda wenzangu mnisaidie kuhusu hilo wingu