Habari zenu, samahani nilituma email sehem ya maombi ya kazi sasa wamenijibu kua nimepata ila wanaomba niwatumie INTERNATIONAL CERTIFIED LOGIC ASSESSMENT AND PSYCHOMETRIC (ICLAP) Je nini hiyo?
Nilivyoona iyo (ICLAP) nikawatumia miongoni mwa cheti changu kimoja cha kimataifa nilichokipata kwenye...
Habari zenu wakubwa,
Wiki iliyopita nilinunua Tecno Boom J8 Mliman City pale, sasa naona touch yake haiko sensitive kabisa yaani mpaka ubonyeze kwa nguvu ndio zinasense
Je kuna uwezekano wa kuongeza sensitivity kwenye simu? msaada tafadhali
Specifications nyingine zote ziko vizuri isipokua...
Habari zenu wakubwa,Week iliyopita nilinunua tecno boom J8 Mliman City pale,sasa naona touch yake haiko sensitive kabisa yaani mpaka ubonyeze Kwa nguvu ndio zinasense
Je kuna uwezekano WA kuongeza sensitivity kwenye simu? msaada tafadhali
Specifications nyingine zote ziko vizur isipokua...
Huyu faiza fox anaroho mbaya sana
Mwanamke mzima anayejinadi kutwa kucha mitandaoni kua ni Muislam ndio Uislamu huu?kumdhihaki mwanamke mwenzie nam namna hii?
Ifike mahala ujitambue faiza fox
Yaarabi mponye mama yetu apate nguvu..arudi katika hali yake ya kawaida!!pole sana mama Helen nakuombea shujaa wangu..😢😢usiwaze..usihuzunike wala usikate tamaa😢😢utapona na kuwa na nguvu zaidi ya mwanzo..tuko pamoja mama yangu mpenzi🙏🙏
Mtoa mada hongera sana una upeo mpana sana wa kufukiri..Mwenyezi Mungu akulipe kwa makala hii nzuri kwani imetuamsha wengi
Time for change..people's power ✌
Hospital hazina ambulance
Shule hazina madawati
Badala ya kufanya mambo ya msingi wamekalia kutawala kimanavu tu ili kututia hofu wananchi mshachelewa WANAFISIEM
ETI RAISI
Mabadiliko lazima people's power ✌
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.