Recent content by saronga

  1. saronga

    Lema atupe siri ya kuwashinda Lowassa, Mulongo, Mongella, Kinana na CCM yote

    We unajiona upo fit upstairs?? Sio lazima uokote makopo
  2. saronga

    Lema atupe siri ya kuwashinda Lowassa, Mulongo, Mongella, Kinana na CCM yote

    Na wewe panda juu ya bonnet la gari utanue miguu uone kama utapata wafuasi wa kukushangilia
  3. saronga

    Lema atupe siri ya kuwashinda Lowassa, Mulongo, Mongella, Kinana na CCM yote

    Kuliko kuwa na Wabunge kumi wasiokua na michango positive kama Prof. Kapuya na Magembe wake ni heri kuwa na Mbunge mmoja jasiri kama Lema
  4. saronga

    Lema atupe siri ya kuwashinda Lowassa, Mulongo, Mongella, Kinana na CCM yote

    Una jina zuri lakini nahisi sio jina lako litakua jina la kurudia darasa la saba
  5. saronga

    UKAWA mnatuchanganya, acheni sifa

    pamoja na burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali
  6. saronga

    Lembeli: Nikikatwa jina, nitahamia chama kingine

    Sijui umekula maharage ya wapi vilee
  7. saronga

    Jenerali Ulimwengu afunguka: Muislamu 'khamsa-swalawat'

    Mbaguzi mkubwa we, na wewe je ni Mtanzania?
  8. saronga

    Kinana asikitishwa kuona wakulima wa tumbaku wanavyodhurumiwa

    Hapana, alipewa taarifa feki kwamba Sikonge kuna TEMBO wa kutosha alipofika akakuta ni Ng'ombe na sio tembo
  9. saronga

    Kinana asikitishwa kuona wakulima wa tumbaku wanavyodhurumiwa

    Mchawi tu huyo, kwani hajui umaskini wao unasababishwa na yeye (TEMBO BOY) pamoja na chama chake, kawaida ya wachawi hulia sana kwenye misiba wakati vifo wamevisababisha wenyewe. MWIZI MKUBWA HUYO mr KINDOVU
  10. saronga

    CCM Arusha: Lema amelipotosha bunge kuhusu Arusha

    Ya kwako na ya anayekukuna mgongo, shwaini wee
  11. saronga

    CCM Arusha: Lema amelipotosha bunge kuhusu Arusha

    Ya kwako na ya Mumeo
  12. saronga

    Wenje awatuhumu wajumbe wa kundi la 201 kuhongwa!

    Ushahidi upi wakati Maghembe ameshakiri kutoa takrima? Hapo Mh. Wenje amemaliza kazi yake
  13. saronga

    Huyu ndiye Kinana ninayemfahamu, mwalimu wa siasa na kiongozi mwenye Upendo

    Hiyo degree itakua ile ya C.H.U.P.I. so ni lazima ajipendekeze ili apate mlo wake wa kila siku. Namhurumia sana huyu dada kwani mwisho wake si mzuri
Back
Top Bottom