Recent content by saritha

  1. saritha

    Nimeshaomba kazi mara 250, sijabahatika!

    Kuimba kwaya ni tofauti na kakaa ktk maombi ukiwa umeokoka nikimaanisha kumkiri Yesu kwanza...na kuomba kwa kuamini
  2. saritha

    Nimeshaomba kazi mara 250, sijabahatika!

    Jitahidi na maombi pia...sio hali ya kawaida kwa upande wangu...pole Mungu atakusaidia, usikate tamaa..
  3. saritha

    Nafasi ya Accountant - 1 post

    Na utapewa maelekezo ya ofisi zilipo
  4. saritha

    Nafasi ya Accountant - 1 post

    Plz send ua Cv kama uko qualified utapigiwa simu
  5. saritha

    Nafasi ya Accountant - 1 post

    Hello...kuna nafasi ya accountant .. awe na degree ya accounting na awe amemaliza mwaka 2014 au 2015.. Atume CV kwa hrtz@unipartauto.com Mwisho j3 tar 12 oct 2015
  6. saritha

    Meneja Rasilimali watu

    Wa ofisi gani sasa?
  7. saritha

    Nafasi ya kazi (office secretary)

    Anahitajika binti umri kuanzia 18-27 Awe na angalau certificate in secretarial studies / ujuzi wa kutumia computer Awe anajua kiingereza tuma CV kwenda, hrtz@unipartauto.com deadline, kesho
  8. saritha

    Usafiri wa basi kwenda Mtwara

    Luxury JM , kwenda na kurudi haiwezekani, kutoka dar asbh kufika mtr ni kuanzia saa nane hv mchana na kuendelea...
  9. saritha

    Sitaki kuamini hili, nisaidieni

    uko vizur...jaribu kuangalia ujiajiri itasaidia uweze kuajiri wengine
  10. saritha

    Ukweli kuhusu Reborn International

    mi sijawaelewa hawa naona wame reply msg kwa email ila haionekani ( blank )...na wamenitumia msg kwa sim yangu
  11. saritha

    Msaada,anaejua Mtaa wa Ohio,Jengo la Amani Place

    Opposite na serena hotel kabla ya geti la kuingilia ukitokea ppf tower
Back
Top Bottom