CCM mliongozwa na ubabe na majungu na sio weledi wakati wa kuteua mgombea Urais haya sasa vuneni mlichopanda,mlitakiwa msome alama za nyakati pale tu mwenyekiti wa chama Mh.Jakaya Kikwete alipoingia ukumbini.Msishangae CCM ikafa kama KANU ya Kenya ilivokufa mlidharau ushauri wa mzee Kingunge...
siku zote mfa maji haachi kutapatapa.Cha msingi hapa sio hupoteza muda kwa kulumbana nao ila kuendelea kusambaza sera za CDM kwa wananchi, Viongozi wake wote wa juu waendelee kutangza sera kila kona.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.