Recent content by sarangi makonopa

  1. S

    Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

    lowasa mwizi Sawa, leo ameokoka toka kwa hao mashetani sasa kazi
  2. S

    Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

    Swali kwa wanaojiita wana uwezo wa kufikiri, baada ya kutuhumiwa mwizi ni mahakama gani alishitakiwa, au serikali yenu haishitaki wezi,
  3. S

    Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

    Amewaruhusu wampeleke court kama wanao u hakika na supporting documents , tena ninyi CCM ndo wenye dola na mamlaka why mnaogopa kwenda mahakamani ili msaliti wenu aipate?
  4. S

    Nani amrithi kikwete 2015?

    DR.SLAA tu anafaa na tuwaombe magufuli na mwakyembe wahame ccm,falsafa zao haziendani na zile za chama chao
  5. S

    Unafiki wa Sitta na Mwakyembe

    Kama ni kumsafisha huyo Lowasa basi rudi ukamwambie akufungashie na brush kabisa
  6. S

    Dhifa ya Kitaifa na Obama: Mbowe ndani ya mwaliko Ikulu

    Chezea CCM wewe,ngoja tutege masikio atakuja na nini, maana ubinadamu kazi
  7. S

    Polisi wahaha kufuta ushahidi wa bomu na risasi

    nahisi hata uwezo wao wa kufikiri mambo nishida na hivyo napatwa na wasiwasi na uwezo wa polisi wetu katika swala zima la upelelezi maana hata mtoto akiacha mpira wake barabarani kwa muda wa saa 3,ukimwambia ufuate atakataa na kukwambia ulishachukuliwa na watoto,
  8. S

    Kupinga Serikali Tatu; Natofautiana Na Profesa Issa Shivji...

    serikali tatu ni sahihi kabisa katika tanzania ya leo,taitizo langu ni moja tu,9 decembernchi mbili ziliungana na kuzaa nchi mpya ambayo haikuwepo awali nayo ni TANZANIA,nchi wanachama wa muungano huo ni TANGANYIKA na ZANZIBAR lakini leo mbona katiba inaitaja Tanzania bara hii ni nchi ya tatu...
Back
Top Bottom