Recent content by SARAMBA

  1. S

    TBC ni wanafiki sana bora ife milele

    TBC ilikuwa ya Lowassa kwa kumbukumbu zangu, sasa baada ya Magamba kuondoka walitegemea nini kama si jua kali???? Angalia shule zao za sekondari zina hali gani wakati Rostam na Lowassa hawapo????? TBC-UKWELI NA UHAKIKA!!!
  2. S

    Chadema Ingeshindwa, ingekuwaje?

    Sijajua lengo lako au pengine tumeishi kwa kudhani kuwa bila MAGAMBA tutakufa na jua kali. Jibu tumezoea kuonewa hivvyo tunge na tunaendelea kujipanga kwa 2015.
  3. S

    CUF Ifutwe haraka

    CHADEMA sisi tuko makini, hivyo CUF na wanamageuzi wengine tuachane nao. Ndugu yangu hapo umechemsha vibaya, jipange upya. Magamba kwanza maana bila wao inawezekana.
  4. S

    Hainess na Machamuli Updates!

    POLENI MAKAMANDA, ila Magamba wanasoma MAANDISHI UKUTANI kama mfalme Belishaza
  5. S

    Hainess na Machamuli Updates!

    Nani kawaambia kung'ang'ania nchi yetu ambayo kila siku tunaimba wimbo wake wa taifa? Isitoshe wametufundisha wao kuuimba leo wanaona kama tunawasaliti!!!!!! HAPA NI CHADEMA TU MPAKA KIELEWEKE.
Back
Top Bottom