Recent content by Sarakiya

  1. S

    Hadithi Ya Kusisimua: Mke wangu nusu jini, nusu mtu

    Mkuu please tunakuomba km kuna mtu kakukwaza usitupe adhabu wote please.
  2. S

    Ninauza tecno h5 bei 90,000/=

    Weka picha tuione.
  3. S

    Nini amekosa AY?

    Hapo umenena mkuu.
  4. S

    Nauza tecno h7-sh. 250,000

    Picha mkuu.
  5. S

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Mfano mie nataka nianze na kuku 400 je nahitaji kuwa na mtaji kiasi gani.
  6. S

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Hata mie nimevutiwa naomba unitumie database.
  7. S

    Gari starlet inauzwa bei milion 2 maelewano yapo njoo uone picha through whats app

    Weka picha tuione acha maelezo picha muhimu.
  8. S

    Yamenikuta: Mashuleni sio sehemu salama tena kwa watoto wetu

    Kwanza inaonekana waganda wanaroho mbaya sn,huyo mwalimu anatakiwa achukuliwe hatua,na uchunguzi wa kujua km kweli yupo kisheria hp nchini,kwanza huyo mwalimu ni jinsia gani.
  9. S

    Tunauza nguo za Mtumba Grade 1, Jumla na Rejareja

    Sasa mnauza nguo bila kuweka picha,weketi picha ili tuone km ni kweli za ukweli.
  10. S

    Vinauzwa (used): Friji, Kabati, Meza, Dressing table, Sofa, Carpet

    Hicho kikabati cha mchina cha vyombo nikupe 50000.
  11. S

    Wanawake 'mnaozalishwa' na kuachwa huwa mnachukua muda kujitathmini kweli?

    Ujue wengi wao huwa wanataka kutumia km mtoto ndio kigezo cha yeye kuolewa,kumbe ni ujinga tu mwanaume anaweza kukuzalisha na akakuacha bila ht wasiwasi.
  12. S

    Hii hali TANESCO haivumiliki

    Jamani nilidhani kwetu tu,nipo mbweni umeme ulikatika toka jana saa moja jioni wakaurudisha usiku nadhani kwenye mida ya saa saba au nane usiku,haya na leo asubuhi ndio imekuwa kamchezo unakatika na kurudi ht siwaelewi hawa tanesco.
  13. S

    Kuishi na mwanamke mjamzito kwenye ndoa ni kazi

    Poa nashukuru kwa kunipinga lkn mie ndio ninavyojua siwezi lazimisha bro.
  14. S

    Kuishi na mwanamke mjamzito kwenye ndoa ni kazi

    Pole sana kaka yangu huo ndio ukubwa sasa kuwa mvumilivu,nakutabiria huyo mkeo atajifungua mtoto wa kiume.
  15. S

    Tamasha la Fiesta limenipatia mpenzi pasipo kutarajia

    Yaani wewe unachekesha kweli huo ndio mwanzo wakupata maradhi we mgegede tu uone kitakacho kukuta.
Back
Top Bottom