Recent content by sarah bradley

  1. sarah bradley

    JamiiForums Tanzania Kwa mahitaji ya nyumba au chumba cha kupanga Mwenge, Sinza, M/nyamala na Mbezi

    Mkuu na mm nina shida ya chumba na sebule kwa laki tu na choo changu sio kushare pliz
  2. sarah bradley

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum kwa ajili ya wanaotafuta na wanaopangisha nyumba

    Heys wana jf,ninatafuta nyumba chumba na sebule if possible na choo chngu kisiwe cha kushare kwa laki na 30 mpk laki na ishirini.au master bedroo kubwa yenye nafasi kwa laki maeneo ya sinza.mwenge. au hata magomeni.its urgent pliz
  3. sarah bradley

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mdada, weka sifa kuu ya mume umtakae

    As for me all i want is an intelligent nigga thats it
  4. sarah bradley

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mdada, weka sifa kuu ya mume umtakae

    We women tunatofautana interets zetu kwa wanaume zetu na kila mwanamke anadesign yake ya mwanaume anaemuelewa zaidi ambae mwanaume uyo ukienda kwa mwanamke mwingne atakwambua hapana sijamuelewa so we are very very tofauti
  5. sarah bradley

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo: Neno la shukrani kwa wote

    Oooh maxence melo God will do it for you,i really feel it for you pole sana kakangu.you will be fine keep praying and believing Mungu atatenda
  6. sarah bradley

    JamiiForums Tanzania Magufuli 'apigwa' Bilioni 100

    Jamani anaemjua nyoka maeneo ya makonde plz aniambie who the guy is na anajishughulisha na nin
  7. sarah bradley

    JamiiForums Tanzania Mwalimu Nyerere: Hii Katiba ya Tanzania, tukimpata Rais asiye na busara anageuka kuwa Mungu

    Jamani however anaemjua jamaa anajiita nyoka somewher makonde plz ani inbox
  8. sarah bradley

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

    Can some one help me on how to answer this question that says discuss radio invention pliz Nipo bachelor ndo mwaka wa kwanza
  9. sarah bradley

    JamiiForums Tanzania Elements of hard news stories

    Sawa
  10. sarah bradley

    JamiiForums Tanzania Elements of hard news stories

    Sorry guys mimi ni mwanafunzi ndo nimeanza chuo can some one help me with the elements of hard news stories pliz zikiwa well explained na mwenye sources pia anisaidie ili nitafute nipate uelewa zaidi pamoja na vitabu if anyone happens to know
Back
Top Bottom