Recent content by santu35

  1. S

    Nimeshindwa kupata jibu la moja kwa moja

    Hayo mambo ni balaa tena hawa wanao jifanya hko mwenyewe ndo wezi wa kutupwa
  2. S

    24 and prison break complte series

    naitaji 24 complete niko dar mkuu nipe soft
  3. S

    Bendera ya Tanzania...inauzwa wapi?

    Kituo darajani kama unatokea changombe mataa unaenda mmoja kituo cha kwanza tu
  4. S

    Bendera ya Tanzania...inauzwa wapi?

    Ipo Keko Mwanga karibu na jengo mali asilli opp mpiga chapa wa serkali bohari kuu ya serikali ndo wapo GPSA
  5. S

    Bendera ya Tanzania...inauzwa wapi?

    Toa mawaciliano
  6. S

    Bendera ya Tanzania...inauzwa wapi?

    Unataka za aina gani ndogo au kubwa nitafute 0788500146 au nenda GPSA
  7. S

    Namna tunavyoiba kodi japo tunatumia EFD...kwa msaada wa mafundi na TRA

    Tena hao agent wa EFD ndo wanakushauri ununue mashine mbili wanakupa mbinu zote arafu unagawana nao hizo hela kwa mwaka au miezi 6
Back
Top Bottom