Ww ndo umepagawa sana coz unasema kama huna akil vzur lissu wap kakosea?n yy aliyevunja mkataba?au unasema tu kwa sababu n mnaz wa ccm nyie kaz yenu n ndio hata kama n uozo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kupotosha umma ww!alievunja mkataba n uyuuyu Mr tumbua majipu kwa maana iyo n mbazilifu wa Mali ya umma anatakiwa ashitakiwe kama kina mramba
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zote ukwel hupingwa na waingo na wanafik!Tundu Lissu ni mkwel kabsa Mkuu anakotupeleka kiukwel sio hatuna budi kumpinga na kumkosoa akikosea!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.