Recent content by sanshinda

  1. sanshinda

    GE2020 Tundu Lissu aijibu NEC kutishia baadhi ya wagombea "wanaohatarisha amani" kwenye kampeni zao

    Hahaaa jamaa ana gubu kinomanoma. Hahaaa kila siku ni lawama tu.
  2. sanshinda

    GE2020 Tundu Lissu aijibu NEC kutishia baadhi ya wagombea "wanaohatarisha amani" kwenye kampeni zao

    Ni wa kati gani Rais wa nchi anakuwa sio Rais? Tatizo hapa sio ahadi, tatizo ni mtu anatukana wagombea wenzake tena kwa kuwataja kwa majina. Lissu kwenye jambo hili yupo guilty kabisa na ndio maana anajishuku. Mbona wenzake hawajapanic???? Yeye anadhani anaweza kuitisha Tume kwa kauli zake za...
  3. sanshinda

    GE2020 Tundu Lissu aijibu NEC kutishia baadhi ya wagombea "wanaohatarisha amani" kwenye kampeni zao

    Tundu Lissu ni mtu hatari sana, muongo, fatani na mzandiki mkubwa. Huyu jamaa anasema hata Maadili ya Uchaguzi vyama havijashirikishwa kuyaandaa? Sisi tunafahamu kwamba yeye alikuwa Ulaya wakati Uchaguzi unaandaliwa, hajui lolote, yani amerudi tu kuchukua nchi, kama mdodo chini ya mnazi. Yani...
  4. sanshinda

    GE2020 Tundu Lissu aijibu NEC kutishia baadhi ya wagombea "wanaohatarisha amani" kwenye kampeni zao

    Maliza kampeni urudi Ulaya ukale nguruwe na mvinjo. Amani hapa ipo sana tu, utakufa utaiacha.
  5. sanshinda

    GE2020 Mgombea Urais CCM kuhutubia kwa kisukuma huko Mwanza. Huu ni ukabila. NEC tunasubiri kuona hatua kali dhidi yake

    Malalamiko kwa wakati huu yana utaratibu wake. Tume haiwezi kufanya kazi kwa threads za JF
  6. sanshinda

    GE2020 Rufaa 557 za Tume ya Uchaguzi, tunataka Matokeo

    Tume haiwezi na haitafanya kazi kwa mashinikizo. Kile ni chombo cha kuheshimika kwenye Taifa letu na kazi zake zipo kwa mujibu wa katiba na Sheria kwa hiyo watakapokamilisha watatoa taarifa, hizo harakaharaka zenu ndio zimewasababisha mkosee kujaza fomu na sasa mnatafuta mchawi.
  7. sanshinda

    GE2020 NEC imepokea rufaa 557 za mapingamizi, na imeanza kuzifanyia kazi

    Hongera Tume kwa kufanya kazi kwa uhuru na uwazi
  8. sanshinda

    GE2020 Kazi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ni nini?

    Huu utaratibu wa kuwaengua wagombea kwa makosa yakiwemo ya kujaza fomu ni utaratibu wa siku nyingi na unakubalika miongoni mwa wadau wakiwemo hao wagombea unaowasema wewe na ndio maana pingamizi la Mgombea wa CHADEMA dhidi ya wagombea wa CCM na CUF kwenye ngazi ya Kiti cha Rais liliwekwa. Na...
  9. sanshinda

    GE2020 Kazi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ni nini?

    Kazi za NEC zipo kwa mujibu wa Ibara ya 74 (6) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ukipata nafasi tafuta Katiba usome.
  10. sanshinda

    Tume ya Uchaguzi inaendelea kudhihirisha uhuru wake

    Nimekuwa nikifuatilia jinsi Tume ya Taifa ya Uchaguzi-NEC inavyoendesha mambo yake kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020 na kiukweli nashawishika kwamba hii Tume ni huru ila tatizo pengine ni wanasiasa wasiokubali kukiri kwamba wanashindwa kwenye chaguzi. Hata sasa naona NEC inafanya vizuri...
  11. sanshinda

    Sheikh Ponda kwanini unakubali kutumiwa vibaya?

    Hii Tume sasa imekuwa kama punching bag, yani kila anayeibuka huko anapiga ngumi. Wengine hata hawajui kwanini wanafanya hivyo. Yani anajikuta tu ameasharusha ngumi. Ila cha msingi hapa watu waache kulialia, Tume ni ile ile iliyowatawaza wapinzani waliokuwapo kwenye Bunge lililopita kwa wingi na...
  12. sanshinda

    GE2020 Mnyika: Uchaguzi 2020 mawakala kutopewa fomu za matokeo

    Wazee wa kulialia. Hamna jema
  13. sanshinda

    Mnyika: Rasmu ya uchaguzi iliyotolewa na vyama kulazimishwa kusaini haifai

    Kwa hiyo nyie wapinzani mmeona njia pekee ya kufanya siasa ni kupotosha tu? Mnyika ameonekana kupitia vyombo mbalimbali vya habari akichangia maoni yake kwenye rasimu hiyo kwenye kikao kilichoitishwa na Tume kwa ajili ya vyama vya siasa kujadili na kupitisha rasimu. Sasa leo hii mnasema vyama...
  14. sanshinda

    GE2020 Lala Salama Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura

    Wanaosubiri Uchaguzi Mkuu uahirishwe watapata tabu sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. sanshinda

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni Tume huru

    Ibara ya 74 (1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 inatamka kwamba, “Kutakuwa na Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Muungano ambayo itakuwa na wajumbe wafuatao watakaoteuliwa na Rais: (a) Jaji wa Mahakama Kuu au Jaji wa Mahakama ya Rufani, ambaye atakuwa mwenyekiti; (b)...
Back
Top Bottom