Recent content by sangwine

  1. S

    Ukweli utakuweka huru: CHADEMA mbioni kufa?

    iringa mjini cdm 14 ccm 4, mbunge msigwa , viti maalumu mgonokulima na lucy tendega eti hawa nao wachaga, au wameru
  2. S

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Hakuna jipya hapo.. Mawaziri wote watakuwa mizigo kama kwa jk
  3. S

    Tathimini kuhusu idadi ya madiwani wapya toka UKAWA kwa Tanzania nzima

    Nimekuwa nikifuatila kwa karibu matokeo ya uchaguzi hasa kwa ngazi za udiwani kwa baadhi ya majimbo ambayo umoja wa ukawa umefanikiwa kupata madiwani ambapo hadi sasa idadi imeongezeka maradufu kulinganisha na miaka ya nyuma . Mfano Arusha mjini CHADEMA madiwani 25 CCM 1, Arumeru 25 , CCM 1 ...
  4. S

    Mwakalebela leo katuma sms kwa kila mwana Iringa, alipataje namba zetu?

    Tumeshuhudia bunge likitunga sheria juu ya matumizi ya mitandao katika kipengele cha mtuma message na mpokeaji message . Jana nimetumiwa sms mbili zisizo na sender address ila zinajina la mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini CCM Mwakalebela zikisema chagua Mwakalebela kwa maendeleo ya jimbo...
  5. S

    Mikutano ya Mwakalebela Iringa Mjini , Kifo cha nyani miti yote hutereza

    Hali imezidi kuwa ndivyo sivyo kwa Mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini Bw. F.mwikalebela (CCM) baada ya kuandaa tamasha la Muziki katika viwanja vya Chuo cha Kleruu. Inasemekana ndo ilikuwa karata yake ya mwisho ya kujaribu kupata watu watakao guswa kumchagua lakini hali ilikuwa ndivyo sivyo...
  6. S

    Wapinzani wajiandae kisaikolojia, takwimu hazidanganyi

    Dada Shonza naona una bwabwaja kama nape vile... hujui unachochambua kusalimiana na watu ni kura hizo... kafanya mikutano ya kampeni au Fiesta show.?
  7. S

    Chanzo cha kuvurugika kwa mdahalo kwa ugombea ubunge Jimbo la Iringa Mjini

    Jana katika jimbo la Iringa mjini tulikuwa mdahalo wa wagombea ubunge toka vyama vya CCM , Chadema, ACT na ADC ambao uliishia kwa vurugu na kelele tu zisizo na msingi. Wagombe kiti cha ubunge wa jimbo hilo ulihusisha mbunge anaetetea kiti chake Bw Peter Msigwa(Chadema), Fredrick...
  8. S

    Ushiriki wa Dk. Wilbrod Slaa kwenye chama cha ACT-Wazalendo

    mamaa majanga Dr slaa na ACT ...? akapige kwanza akatubu dhambi ya uasherati
  9. S

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    mbona uzinzi hajanza jana wala juzi tanguakiwa padre, Rose Kamili mbona alikuwa nae hata kabla ya kuwa padre.. ndo maana alijipima akaona afiti kuchunga kondoo wa Bwana Yesu na kuachia ngazi ya upadre
  10. S

    Mabango ya Lema, Arusha Mjini yaichanganya CCM

    hahaaa.. mbona sisi ni malofa bhana.. tushajikubali na mwisho wa ulofa wetu ni 25 october 2015
  11. S

    Nguvu ya Lowassa ni zaidi ya kuingia ikulu

    Kwa wote wanaofuatilia mchakato mzima wa uchaguzi kwa umakini watakuwashaelewa nini namaanisha. Tukianza na uchukuaji na urudishwaji wa fomu za uraisi, CCM walianza kwa umauti mkubwa na kusema Mh J Magufuri kaweka rekodi lakini siku ya kuchukua fomu Mh Lowassa habari za Mh Pombe Magufuri...
  12. S

    Mwigulu aendelea Kuitesa CHADEMA Kalenga,Avuna Mwenyekiti wa CHADEMA kata ya Nzi na Viongozi wengine

    Mh kaka hizi mbona picha za zamani tena mwaka jana mwezi wa 12 kipindi cha chaguzi ndogo za kiti za ubunge. Kalenga kwasasa hakuna hali ya ukijani kibichi mwezi wa 7 na 8.uwoooooongoooooooo
  13. S

    Mchungaji Msigwa ubunge wa Iringa mjini hapati Tena

    porojo za ccm bana.. vichinjio tunavyo na kura tuna mpa Mh Msigwa , umekaa nani na kukwambia kwamba kura za wana iringa kwa Futufutu mwakalebela
  14. S

    Lowassa ataweza kampeni kweli?

    Lowassa ni mtu wa vitendo haitaji porojo nyingi, Vitendo na uwezo kupambana na matitizo ya watanzania ahuhitaji maneno mengi... Watu wanampemda kwa kuwa mtu wa vitendo na si maneno:dance::dance::dance:hizi hana
  15. S

    Utabiri wa atakayekuwa rais mpya wa TZ huu hapa

    huu utumbo unaotabiri ushawahifanywa na sheikh yahaya mwaka 2010, pale aliposema atakaegombea kumpinga Rais Kikwete atakufa baada ya uchaguzi matokeop yake kafa yeye naaliowatabiria vifo bado wanadunda tu kwa uwezo wa Mungu.
Back
Top Bottom