Recent content by sangas

  1. sangas

    Tundu Lissu ni nani? Mambo 7 yanayomtambulisha mwanasiasa huyu wa Tanzania mwenye misimamo mikali

    https://www.bbc.com/swahili/articles/ckg2n374vn5o
  2. sangas

    Kuna maeneo ukikaa hapa Dar utaonekana ni wa hovyo

    Wacha weee hata magomeni, duuh migo migo,magomeni mapipa lango la jiji
  3. sangas

    PreGE2025 Tuseme ukweli: CHADEMA msithubutu kugomea uchaguzi maana hata Ulaya na Marekani sasa hivi wana matatizo yao kiuchaguzi na hakuna wa kuwaogopa tena

    Ooooh ohhh mtoa maada naona umejawa na hofu Sana hasa ya Nini kitatokea endapo CDM hawatashiriki uchaguzi,,,,,,,,, Pili huoni athari yeyote kwa nchi hasa vijana Hawa watakao kuja kuwa taifa la Tanzania siku zijazo.. Historia mbona inafundisha mengi Sana.....mfano ;chanzo cha mapinduzi ya...
  4. sangas

    PreGE2025 Tundu Lissu: 'Nipo tayari kunyongwa hadi kufa, siogopi' aisisitiza No reforms, No election iendelee

    Alipona risasi 30+ hana cha kuhofia kifo huyu bwana...,..
  5. sangas

    Anza leo ni mtandao wa kweli?

    Naomba kujua hawa wanaojiita anzaleopesa ni mtandao wa kweli na kuna yeyote aliye pata kufaidika na biashara hii? Au ni upigaji tu
  6. sangas

    Ushauri kwa Rais Samia: Kwenye mabadiliko ya Cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, tumia wazoefu; Fedha mpe Dkt. Kimei, Biashara Uwekezaji mpe Deo Mwanyika

    0 !......makonda siyo mbunge mawaziri lazima wawe wabunge wa kuteuliwa na raisi au wakuchaguliwa mkuu
  7. sangas

    Hatu ya Makundi CAFCL: Inaweza kutokea Simba na Yanga kupangwa kundi moja

    Katika football lolote linawezekana... Liverpoool kuna wakati alipigwa 3~0 first half lakini akawa bingwa wa uefa na ilikuwa liver mbovu sana maana ligi ya kwo walimaliza nafasi ya sita akiwa hana sifa ya kucheza uefa msimu unaofata.... Kuna waka barceleno walifungwa 5~0 na psg lakini walipindua...
  8. sangas

    Naibu Waziri wa Afya: Nikiona PDF ya Zuhura haipo kwenye Instagram ya Ikulu nakuwa na 'confidence'. Mh. Rais nakushukuru sana kwa mimi kunusurika!

    Alikuwa mbumge kupitia chadema ...baadae akaunga mkono jitihada za mwendazake raisi akazadiwa unaibu waziri yeye na wenzake..siwataji so full kujikomba ndo serikali tulionayo hakuna weledi ukijikomba unapewa cheo
  9. sangas

    Kwanini Nelson Mandela hakumsamehe Winnie Mandela

    Kwa ufupi tu...samora macheli aliwahi kumuaga mkewe Graca macheli kuwa yeye [samora] anaweza poteza maisha hivyo akamwambia nikifa uende kwa mandela naamini mandela atakuwa raisi wa RSA...hivyo baada ya samora kutunguliwa graca alikuwa mjane na mandela akawa raisi hivyo unabii ukatimia...
  10. sangas

    Mabadiliko madogo Baraza la Mawaziri yanalenga kumsogeza January mahali patakatifu?

    Huyu jamaa ana kaskendo ka kuiba mtihani kidato cha nne, ikamlazimu kurudia tena mwaka mmoja baadaye..... Sio msafi hata kidogo hafai kwa hilo tu
  11. sangas

    Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Doto Biteko ateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Makamba Mambo ya Nje, Pindi Chana Katiba na Sheria

    katiba ya jmt haina wizara wala vipengele vyakd ila inamtaka raisi kuteua waziri mkuu na mawaziri na kuunda baraza .lakini katiba haijasema wizara ziweje ndio maana kila raisi anaunda wizara zake na kuzichanganya anavotaka. So cheo cha naibu waziri ama naibu waziri mkuu havipo kikatiba na ni...
Back
Top Bottom