Kwanini watu wasibeze uteuzi huo? katika nchi ambayo population kubwa ni ya wakristo unateua maDC 27 wapya na 21 kati yao ni waislaam na wakristo 6 tuu,mtakuja kujuta na huu UBAGUZI wenu wa kiislam siku moja.
Hai ni nyumbani kwetu,najua vema msimamo wa wanaHai,katika majimbo ya mwanzo kabisa kwa upinzani ni Hai na Siha,wakati ule mzee Mwinyihamis Mushi wa NCCR Mageuzi na Makindara Elias Mosi Siha,huyo Munisi wa CCM ni mbwiga wa wapi?kwanza kule Hai viongozi hufuata koo huo ukoo wa Munisi ni wachunga...
Kwa sisi tunaomjua vena Freeman Mbowe hiyo pesa ndogo sana kumsumbua Mbowe,nenda ukabuni mbinu mpya,kama una uchungu sana na hizo za CHADEMA si ungefichua na ukwasi wa babu zako wa ESCROW?
Siasa zenu za Rombo mnazifanya global?nani asiyejua kwamba Rombo ni jangwani?Selasini ataleta maji Rombo ana Serikali?bado utafiti uliofanya umeokota maneno vijiji viwili unakuja kutuambia hapa jf?wewe umetoka wapi mshamba na mmbea hivyo?jipange.
Nani kakutuma kumchafua slaa?kwa akili yako nani wa cc unaona anafaa?hivi unaweza kuuona udini ulivyotawala uteuzi na ajira za utawala awamu ya nne? Hivi wenzenu wakiamua kufanya kama mnavyofanya kwenye hii nchi wengine mtapona?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.