Recent content by samwesongo yunusu

  1. S

    Mauaji ya mtuhumiwa mkuu wa kesi ya mabomu Arusha inatia utata sana

    Ni mtu hatari na hakuwa huru kama unavyodai na Ndiyo maana alifungwa pingu. Tunazo haki zetu kweli, lakini si kutoroka chini ya ulinzi. Na kwa vile Kamanda amesema wapo waliofikishwa mahakamani, ukweli halisi utadhihiri
  2. S

    Mauaji ya mtuhumiwa mkuu wa kesi ya mabomu Arusha inatia utata sana

    Hakuna cha picha wala nini hapo. Ni propaganda tu na kutumia kivuli cha siasa kusema uongo. Eti ana picha, Hata mungu hamumuogopi?
  3. S

    Mauaji ya mtuhumiwa mkuu wa kesi ya mabomu Arusha inatia utata sana

    Sikiliza bro. Mbinu za vita zinapatikana ktk uwanja wa mapambano tena wakati wa mapigano. Waheshimiwa uliowataja ni tofauti na huyo marehemu ktk nature ya kosa na hasa public interest. Polisi wamewajibika ipasavyo, na si vinginevyo
  4. S

    Mahabusu afariki akiwa Mikononi mwa polisi

    Ehheee! Kama nimesoma vizuri Kamanda amesema aliwafanyia wenzake fujo humo mahabusu, hakusema aliwapiga. Sasa kama walikuwa zaidi ya watano walipompiga, sidhani waliangalia ni sehemu zipi za kupiga. Mungu aiweke roho yake peponi
  5. S

    Simulizi za polisi kuua gaidi Arusha

    Ila kiukweli polisi wanapiga kazi hasa inapotokea hali inayotishia amani kwa raia. Wote mmekwenda shule na mnafahamu nini utafiti. Na binafsi naamini wote waliosalia watakamatwa ila tu wasijaribu kutoroka. Au wajisalimishe na mabomu yao haramu
  6. S

    Zijue Most Powerfull Intelligence Agencies duniani

    Me naamini kuwa Sharpness na Strongly ya taasisi inategemea sana mazingira na sababu za uwepo wake.
Back
Top Bottom